cdm chama cha ukanda wa kasikazini na ni chama cha kifisadi ukifumua uhozo msaliti cdm kuna uongozi wa kifalme mbowe na slaa wanatafuta warithi wao ili waendelee kugawiwa ruzuku badilisha uongozi 2weke na ukanda mwingine inamaana kasikazini ndio kuna wanasiasa wazuri pekee
kuna rafiki yangu ni vvu+ anaitaji mchumba yupo dar nimwajiri mchumba awe na shughuli yoyote awe na watoto wasizidi 3 au asiwe na mtoto ni sawa umri miaka 30 mpaka 45 tafadhari pm upewe namba yake ya simu kwa alie na nia kipaumbele anaeishi dar
tuwasiliane 0763004203 au 0658004203 nipo dar awe na shughuli yake umri wangu 38-43 umri aujalishi sana bora maelewano awena watoto sawa cjagui rangi wala kabila awe mkristo
anaitaji mwanamke umri kuanzia 30-45 asiwe mfupi, rangi yoyote naishi dar umri wangu miaka 39 alie tayari tuwasiliane 0763004203 au 0658004203. elimu yangu kidato nne ila ninaujuzi wa kazi na sichagui elimu
Jk ni ndumilakuwili anauma na kupuliza ndo maana anashindwa kuwaambia EL na EC wajiuzulu moja kwa moja kwani naye ni muhusika katika dili la kuanzia richmond hadi dowans na kama gamba kuu wa kujivua ni yeye ila akina EL wanaogopa kumvisha paka kengele lakini ukifika wakati watafunguka na kusema...
Kaeni nae pamoja na nyie mmuulize anapenda nini na mumpe uhuru wenye mipaka na kumuelimisha hasara YA KUFANYA MAPENZI katika umri mdogo na faida ya kusubiri ila usiwe mkali awe huru kuuliza na kupewa majibu ya wazi na ya kweli kwani atakuwa anajua kila kitu
Cheza nae kisaikolojia zaidi mfanyie suprise kwa kuwa akitoka kwenye ulevi na wewe unamnunulia pombe tena na kumwambia umeamua kuteseka kwa ajili yake ili yeye awe na furaha
<br />
<br />
Hizi ni propaganda za CCM na NUNGAYEMBE lake CUF. Vijana hao wamezidiana kete za posho ya NAPE. Hiyo tenda walipewa vijana wengine na yeye akawazidi kete hao vijana ni habari kutoka kwa jamaa zake wa karibu mimi nipo hapa igunga. Hiyo ni posho ya kihelehele Nape imemuumiza huyu...
<br />
<br />
Hizi ni propaganda za CCM na NUNGAYEMBE lake CUF. Vijana hao wamezidiana kete za posho ya NAPE. Hiyo tenda walipewa vijana wengine na yeye akawazidi kete hao vijana ni habari kutoka kwa jamaa zake wa karibu mimi nipo hapa igunga. Hiyo ni posho ya kihelehele Nape imemuumiza huyu...
<br />
<br />
Hizi ni propaganda za CCM na NUNGAYEMBE lake CUF. Vijana hao wamezidiana kete za posho ya NAPE. Hiyo tenda walipewa vijana wengine na yeye akawazidi kete hao vijana ni habari kutoka kwa jamaa zake wa karibu mimi nipo hapa igunga. Hiyo ni posho ya kihelehele Nape imemuumiza huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.