habar zenu wakuuu! binafsi niko powa,,nielekee kwanza kwenye mada mimi ni mjasiriamali nahtaj kufungua kibanda cha mpesa na tigo pesa ila kwa bahat mbaya sina kitambulisho chochote cha utaifa ambacho kingenisaidia kujisajili binafsi kama wakala pia process za kufatilia kitambulisho ni ndefu...
Kwani hko kupokea cm unakokilalamikia shida ako inakua ni nin haswa ???
we huna shughul ya kukuweka bize na kama ungekua nayo usingelikua hapa unajib kila comment ya mtu
Ushaul wang ni "jarib kupambana na hal yako mkuu"
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni mke wa mtu mkuu
Yan kwa tafsil ndogo utamtunzia yule jamaa familia yake mkuu cku akirudisha majeshi yake ndo utakapoelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo kwenu wajuvi wa mambo naomba msaada ninayo simu ya kampun ya halotel double line kama mjuavyo sim hizi by default lazima utumie line ya mtandao wao ila kwa matumizi yangu situmii halotel kwa sasa hivyo nahtaj niiflash personal ili niweze kutumia line mbal na halotel
naomba muongozo ni apps...
Mkuu dadavua wenye sup wakiwa vyuon au waliowah kupata sup ??
je kama ni walio wah kupata sup ni kwel kua ukipata sup huwez ajiliwa???
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumaini mko poa,
Niingie kwenye mada me ni mwanafunzi wa elimu ya juu nipo hapa mjini niseme baada ya pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na tangazo la ujasiliamali motion in grobal nikahitaji kujua zaidi wanadeal na nini haswa.
Hivyo nikaanza kufuatilia nini wanachofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.