Mpaka upate shemeji wa kueleweka miaka hii, andaa albamu ya hizo bizinesi kadi. La sivyo utakuwa na kesi nyingi sana za kusimamia mahakamani kwa gharama zako
Kwa uzembe wa kujitawala tulionao, kuna dalili makofi yakapanda ngazi toka kwa diwani, mbunge, .... Kuna makundi 'yanapigwa makofi' sana tena kila siku kwenye jamii ya Watanzania, but who cares?
NB: Hii nilmeiweka pia kwenye uzi wake mwingine. Mods tafadhalini unga hizi threads
Francis Michael Kasab(v)ubu Ntiriniga
1. Inabidi kufahamu historia yake vizuri. Kuanzia tu akiwa mwanafunzi UD. Alikuwa na tuhuma nyingi sana za ukosefu wa maadili...waliokuwa wazee wa pale miaka hiyo...
Francis Michael Kasab(v)ubu Ntiriniga
1. Inabidi kufahamu historia yake vizuri. Kuanzia tu akiwa mwanafunzi UD. Alikuwa na tuhuma nyingi sana za ukosefu wa maadili...waliokuwa wazee wa pale miaka hiyo wanakumbuka. Anayeweza kupekua faili lake la uanafunzi anaweza kuleta taarifa zaidi hapa
2...
Wanaume wakiacha kutengeneza mashoga hawatakuwepo. Tatizo la ushoga linaanza na baadhi ya tabia za wanaume. Ushoga hauwahusu wanawake ingawa ni watoto wao. Mashoga si watu wa hatari kama mabasha, maana mabasha ndio wanaotesa mpaka wanawake. Uzuri/ubaya wanaopinga ushoga kwa kelele kubwa ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.