Guys p poleni na majukumu
Nina mpango wa kujiunga na sheria ngazi ya cheti katika chuo hichi cha mzumbe
Nilikuwa nauliza kwa mwenye uzoefu na mazingia ya pale. Upatikanaji wa materials, upatikanaji wa hosteli, gharama za maisha n,k
Ahsanten sana
Guys, lets me make it simpleee!!!
Nilikuwa nahitaji mtu yoyote mwenye experience, na chuo cha usimamizi wa mahakama-lushoto, anisaidie, nataka kujoin pale mwaka huu, certificate
I tried to search online, but unfortunately i didnt saw more info,
Thanks
Habirini wakuu,
Nimepanga nijiunge pale IJA, kwa ngazi ya cheti(sheria) sasa nilikuwa nahitaji maelezo kidogo kukihusu, mgafano, upatikanaji wa hostels, gharama za maisha, msuli wa pale, nimejaribu kutafuta mtandaoni sijapata
Thamk in advance
Habari, Kwa mujibu wa ratiba ya necta, Maombi yanataanza kutumwa kuanzia 15/5 kwa mwaka wa masomo 2019/2020,
Hivyo kwa wenzangu tuliopanga kutuma maombi kwa kada tofaouti tofauti kama vile
PHARMACY
LAW
COMMUNITY DEVELOPMENT
COMMUNITY HEALTH
N,K
Tujuane tupeane TIPS, na more informations ,
Mimi ni kijana niliemaliza kidatobcha nne mwaka 2017 kwa matokeo haya DIV IV 26
Civics C
English C
Kiswahili C
Goegraph D
History D
Biology D
Math F
Sasa nilikuwa nauliza ipi imekaa njema kati ya kwenda advance private kwa HKL au niende chuo, na vipi course gani naweza fit pia, out of my own...
Habari, Kwa yeyote mwenye kufahamu ni Kwa lini dirisha la maombi kwa ngazi ya cheti na diploma kwa mwaka wa masomo 2019/2020 anisaidie
Thanks in advance
Habirini, Ndugu wanajukwaa nilikuwa nataka kufahamu tarehe rasmi ya kutuma maombi kwa vyuo kwa sept intake, au kama yeyote mwenye ALMANAC atuwekee hapa
Mbali na hilo mwanafunzi mwenye credits 3, four points 26 anaweza chaguliwa cert in law CLW UDSM????
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wanajukwaa habari zenu
Nimekuwa nikipitia NECTA GUIDE BOOK Mara kadhaa Ila nimeshindwa kujua tofauti kati vigezo vya kusoma certificate na diploma kwa course za art mfano Business administration, Community development n.k VIGEZO wanaonyesha ni FOUR PASSES EXCLUDING RELIGIOUS SUBJECT pia...
Hellow, ndugu wanajukwaa naombeni mwenye group lolote la michezo anajoin au kama hakuna tunaweza tukaanzisha group letu wenyewe
mwenye Link Atuwekee Sote Wapenda Soka
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari,
Mdogo Wangu Amepata
English C
Civics C
Kiswahili C
Bios D
Geo D
Hist D
Math F
Anataka Aanze Certificate Ya Sheria Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam
Je Kwa Matokeo Hayo Anaweza Pata Admission Mwezi September??
Kiukweli Sijui Kipi Hasa Kinachofanya Hip/hop Nchini Marekani Kufanywa Sana Na Watu Weusi,
Kuanzia Kwa The Legend Himself 2pac Shakur, Mpaka Sasa Kwa Rappa Kama Lil Wayne, Quavo, Offset, Kanye West, Jay Z, Future,
Habarini wakuu,
Two major school of houghts, zinakinzana, baadhi ya watu wamekuwa mstari wa mbele kwa kusema Rais Magufuli ni moja kati ya viongozi wachache waliowahi kutokea duniani, wengine wanaenda mbali zaidi kwa kusema Magufuli ni Malaika,
Ukiwasikiliza wakina Humphery Polepole, akina...
Habari Wanajukwaa!!
Awali Ya Wote Naomba Nijitambulishe Kama Mpenda Mziki Mzuri,
Nimefanya Utafiti Usio Rasmi, Nimegundua Kwamba Nyimbo Za Kwanza Za Wasanii Wa Kizazi Kipya Huwa Nzuri Kuliko Nyimbo Wanazozitoa Baada Ya Kupata Jina
Mfano,
Young Killer- Dear Gambe, Mrs Superstar, Jana Na Leo Vs...
Wakuu Habari Zenu!
Jumamosi Hii Tanzania Itasimama Kushuhudia Mechi Kubwa Kuliko Mechi Yoyote Hapa Afrika Mashariki Na Kati, Kariakoo Darby
Yanga Watakuwa Mwenyeji Wa Mchezo Huu, Utakaofanyika Uwanja Wa Taifa,
Mchezo Wa Mwisho, Uliowakutanisha Timu Hizi Uliisha Kwa Sare Ya Bila Kufungana...
Habari Wana Jukwaa,
Jumuiya Ya Wazazi Tanzania Inamiliki Shule Kadha Wa Kadha Ndani Ya Tanzania Zaidi Ya 70,
Ikiwemo
Itende- Mbeya
Ujiji High Schoo- Kigoma
Sangu - Mbeya
Ivumwe- Mbeya
Meta- Mbeya
Mbalizi- Mbeya
Kwa Mwenye Kujua Shule Zingine Zinazomilikiwa Na Jumuiya Ya Wazazi, Katika Mikoa...
Habari,
Ndugu Wanajukwaa Kwa Yeyote Mwenye Uelewa\ufahamu Na Mawasiliano Ya Shule Ya Sangu Sec Jijini Mbeya,
Performance Ya A-level, Maisha Kiujumla Kwa Mwanafunzi Pamoja Na Ada
Ahsanten
Guys,
Mimi Nina Mdogo Wangu, Amemaliza Kidato Cha Matokeo Yake Siyo Mazuri Sana, Hatapata Nafasi Ya Kuchaguliwa Shule Ya Serikaki,
Kutokana Na Hali Ya Kifamalia, Namtafutia Shule Binafsi Ya Kidato Cha Tano, Kwa Mkoa Wa Dsm
Yenye
Ada Nafuu- Mwisho 1ml
Hostel
Iwe Mjini
Ntafurahi Sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.