Mwenye notes au soft copy au anaye pajua sehemu zinzo uzwa kitabu cha general chemistry cha ngaiza kwa morogoro maana nimeenda kwenye page yao ya facebook nimewatumia message hawanijibu. Naombeni mnisaidie kati ya hivyo kama utakuwa unakitabu chake au soft copy yake au kama unakujua wapi naweza...
Mwenye notes au soft copy au anaye pajua sehemu zinzo uzwa kitabu cha general chemistry cha ngaiza kwa morogoro maana nimeenda kwenye page yao ya facebook nimewatumia message hawanijibu. Naombeni mnisaidie kati ya hivyo kama utakuwa unakitabu chake au soft copy yake su kama unakujua wapi naweza...
Mwenye notes za general chemistry za ngaiza ziwe soft copy au kitabu au anayejua wapi vinapatikana kwa morogoro naomba anisaidie na shida nacho asante sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni msaada nimefanya mtihani wa form 6 mwaka jana. Nilisomea PCB nimekosa point mmoja tu nina E ya physics ila mengine yote na C
Lengo langu kubwa nije kusoma course ya afya. Wazo langu nitafute chuo chochote mwaka huu.
Je, nikiwa chuo na ruhusiwa kurisiti yaani kufanya mtihani wa...
Kikweli mimi siyo mtaalamu sana wa laptop nina kama laki 350 hivi mnaweza nisaidia kunitajia laptop ipi nzuri naweza pata kwa hiyo bajet yangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemaliza mwaka jana elimu ya kidato cha sita mchepuo wa sayansi, PCB na matokeo yangu ni CHEM-C, BIOS-C na PHY-E
Niliomba msaada wa kutaka kurudia kufanya mtihani wa somo la PHY ili nikasome MD baadhi ya watu wakanishaurii nisifanye hivyo na wengine wakaniambia nitafute chuo nje kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.