Habari za Mchana Wakubwa,Kuna news inatembea inamuhusisha Mtanzania na Uchomaji moto wa University of Cape town.
=====
Frederick Mhangazo has appeared in CPT’s Regional Court on Tuesday, accused of starting the Cape Town fires that destroyed almost 600 hectares of land and several local...
Habara za saa hizi Wakuu,Kuna hizi habari sijuwi kama zina ukweli sema ni kwamba kuna jamaa Wawili na Dada mmoja wameng'oka na kilo kadhaa za Heroin wakiwa njiani kuelekea Zanzibar.
Wakuu habari za mida hii
Nilikuwa nataka kuwafahamisha habari ya Msiba wa ndugu yetu Hamza Shaaban Semboga a.k.a GAZZA ambao umetokea Jumatatu asubuhi Goodwood station in Cape Town.
Marehemu alichomwa visu na Mtanzania Mwenzake wa kuitwa Chamchele.
Tuko kwenye mipango ya kusafirisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.