Search results

  1. Z

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    Tatizo watanzania wengi kila kitu wanachukulia ni siasa,Mimi nimesoma shule za serikali,miaka hyo kjjn kwetu ukienda shule za private ulikuwa unadharaulika.Leo hii baba yangu ambaye hakusoma kabsa,amehamisha wadogo zangu wote toka shule za serikali na kuwapeleka shule inayomilikiwa na kanisa...
  2. Z

    UDOM kutowapatia vyeti wanafunzi wa sayansi walio maliza chuo mwaka jana 2012

    Kuna taarifa zilizonisikitisha kidogo hivyo naomba kwa mwenye maelezo zaidi anielimishe.Wanafunzi wa shahada za sayansi waliosoma UDOM na kuhitimu mwaka jana wanapata shida wanapohitaji vyeti vyao,hii imetokea baada ya kuambiwa wanatakiwa kulipa kiasi cha shillingi milioni moja.Kwa maelezo...
  3. Z

    Hotuba ya Rais Kikwete Mwisho wa Mwezi Julai: Amjibu Kagame!

    Chukulia tu mambo ya kifamilia,mpo kwenye kikao cha mtaathen jilani yako anasimama na kusema kuna nyumba nyingi zina migogoro (akitaja na familia yako) hivyo nashauri wakae na kuzungumuza matatizo yao.Nadhani wengi wetu hawatafurahia,utajiuliza jirani yangu mbona hata hajaniuliza nn kinaendelea...
  4. Z

    Ripoti ya CAG, yatinga rasmi Bungeni! Serikali yavunja sheria kwa kukosa majibu...

    sijaipitia hiyo sheria,ila kwa uelewa wangu hoja za mkaguzi zinazokuwepo kwenye ripoti ya mwisho ni hoja ambazo mkaguliwa hakutoa majibu ya kuridhisha.Hata hvyo ripoti hiyo lazma ionyeshe majibu hayo,sasa mimi nashindwa kuelewa ni majibu gani ambayo serikali inatakiwa kuwasilisha bungeni?.
  5. Z

    Jihadhari na airtel money

    Kama wewe ni mtumiaji wa hudumu za kutuma na kupokea hela kupitia mitandao yetu ya simu naomba nikutahadharishe kuhusiana na Airtel Money.Nilifungiwa akaunti yangu,nikaambiwa itafunguliwa baada ya masaa 72,baada ya muda huo kupita nikapiga simu na kuambiwa niwe mvumilivu kwani kuna watu akaunti...
  6. Z

    Mlioagiza magari mkailipa tbs mkachukue hela zenummeibiwa :mkurugenzi akiri akuna ofisi nje ya nchi

    Duh! huwez hata kuamini habar hz maana ni ushenz wa kutupwa.Ifike mahali Kamati ziwe zinaambatana na polisi ili washenz km hawa wawe wanachukuliwa na kuhifaziwa ndo upelelez uendele.Nasikia huko Ethiopia mtu ukiwa na tuhuma za rushwa wewe mweyewe ndani,mkeo ndan,watoto wako ndan,wazaz na...
  7. Z

    Mwakyembe ndani ya kanisa la Gwajima; ashukuru kwa maombi akiri kulishwa sumu!

    kazi ipo,hadi hii nnji ije kukombolewa.Lazma wengne kujitoa mhanga!
  8. Z

    Mwakyembe ndani ya kanisa la Gwajima; ashukuru kwa maombi akiri kulishwa sumu!

    Nimeiona post yako kwa kuchelewa,je wameonge nn hasa?.Vp sura ya Mwakyembe is he recovering?
  9. Z

    madaktari kusitisha huduma za dharura

    Hima WaTZ,hatuna njia ya kuiambia serikali ikae na hawa jamaa ili wamalize huo mgomo?.Kama hakuna namna basi tukae kimya na kuangalia hiyo sinema litakapoishia.
  10. Z

    Huduma NSSF ni kero kubwa!

    Duh jipange kisaikolojia maana waweza ukakata tamaa kwa usumbuf utakao upata.Shida yao pia ni procedures kutoeleweka,utenda kuomba form za madai ukionyesha barua ya kuachishwa kaz unapewa,nenda kwa mwajr ajaze michango,then rudisha hz form kwao hapo ndo ngoma inapoanzia nenda rudi,nenda...
  11. Z

    Waziri avunja sheria ya haki za mtoto

    Sina ugomvi na michango ya mashuleni,lakn angetoa sababu za msingi kwa ajili ya hyo michango.Sidhani km hyo michango ina uhusiano wa moja kwa moja na ubora wa elimu inayotolewa.Ningependekeza nchi iwe na sera ya elimu ambayo haitaweza kuchezewa na wana siasa,maana nakumbuka enzi ya Mungai...
  12. Z

    Huduma NSSF ni kero kubwa!

    kwa somo hilo wadau mnafikiri suluhu ya tatizo ni ipi,maana hakuna hata ambaye karizishwa na huduma zao kwa wote mlio post.Je tuendelea hvhv? au nn kifanyike ?.
  13. Z

    hatimaye serikali yaridhia kuwarudisha madaktari (interns)waliofukuzwa muhimbili

    Inaumiza kuona wagonjwa wanavyoathirika na huo mgomo,lakn sasa madaktar wafanye nn km hawaskilizwi kwa hoja zao za msingi?.Nadhani kwny mchakato wa katiba mpya tuangalie uwezekano wa kuwa na viongozi ambao si wana siasa kwenye sekita nyeti.
  14. Z

    Huduma NSSF ni kero kubwa!

    NSSF ingekuwa wanafanya biashara basi ingekuwa rahisi sana kupoteza wateja kutokana na uduni wa huduma zao. Ktk kipindi hiki cha matumizi ya teknolojia bado huduma zao ziko duni,je miaka 10 iliyopita hali ilikuwaje? Inawezekana wengi wasielewe hili maana michango hupelekwa na waajiri hivyo...
Back
Top Bottom