Search results

  1. zubedayo_mchuzi

    ONYO: Ubungo Darajani kuna wezi balaa

    Wale hakuna hata mmoja wa kunigusa,
  2. zubedayo_mchuzi

    ONYO: Ubungo Darajani kuna wezi balaa

    Mkuu masaa 3 yangu pale yalikua na kitu nachotafuta,ila kama upo dar kama si wewe basis hata mdogo ataingia mikononi mwao siku moja...yangu taarifa tu
  3. zubedayo_mchuzi

    ONYO: Ubungo Darajani kuna wezi balaa

    Habari za siku Mingi ? Leo nilikua pale ubungo darajani stand,maeneo haya ni maeneo yangu ya kujidai kabisa toka 2006 napajua ubungo vizuri na washenzi wote wa pale tena enzi za Hamidu mzawa. Leo naomba nikujulishe wewe mtanzania unaetumia kituo kile ni kwamba kimejaa wasafiri wengi feki,kuna...
  4. zubedayo_mchuzi

    Rais mdogo duniani - North Korea

    Hawawezi kumpiga hao,north Korea ni mfumuko wa king jumong tawala iliojiamini katika vita miak kibao.
  5. zubedayo_mchuzi

    Rais mdogo duniani - North Korea

    Northern Korea inajivunia kitengeneza kombora linaloweza kurushwa mpk marekani Ukitaka kujua hawa jamaa walianza lini michakato yao fatilia IRIs na Athena Alafu jiulize hawa IRIS ni nani
  6. zubedayo_mchuzi

    Rais mdogo duniani - North Korea

    Umarekanism fever
  7. zubedayo_mchuzi

    Rais mdogo duniani - North Korea

    Mama yake humuita "the morning Star king"
  8. zubedayo_mchuzi

    Aachiwa baada ya kutishia kuua - Keko

    Mmiliki wa bar kubwa maarufu mitaa ya keko Roberti Mushi, usiku wa Jumapili mida ya saa sita alimjeruji dereva kijana aitwae Ngotikwe Ramadhani kwa kumpiga na mdomo wa bastola baada ya kuzipiga tatu hewani. Roberti mushi ni mpangaji wa fremu zinazomilikiwa na Chama Cha Mapinduzi akieleza kwa...
  9. zubedayo_mchuzi

    Rais mdogo duniani - North Korea

    Unamnyoosha mtu mwenye kufurahia kuunda kombola lenye uwezo wa kutua usa
  10. zubedayo_mchuzi

    Rais mdogo duniani - North Korea

    Itakua umri na technolojia
  11. zubedayo_mchuzi

    Rais mdogo duniani - North Korea

    Je unajua rais mdogo duniani ni rais wa North Korea inakadiliwa kuwa alizaliwa kati ya mwaka 1983-1984. Baba yake alimuandaa kuwa mrithi wake kwa sababu anafanana na muhasisi wa Taifa hilo. Mama yake na rais wa North Korea Kim jong-un yeye alimuita "morning star king". Inasasikika ndie rais...
  12. zubedayo_mchuzi

    Wadada mnaotongozwa gizani amkeni

    Mungu alivyoumba Dunia aliliumba na Jua
  13. zubedayo_mchuzi

    Wadada mnaotongozwa gizani amkeni

    Aisee nimefanya kautafiti kidogo hapa nikagundua wasichana au wanawake wengi wanaotongozwa kwenye giza huishia kuchezewa tu. Siku zote katika ulimwengu wa vitu visivyoo onekana ,giza husimama baada ya matatizo au shida ni wazi kabisa kutongoza au kutongozwa gizani ni laana na mtaishia...
  14. zubedayo_mchuzi

    Mtanzania aliyetengeneza Chopa aalikwa South Africa

    Katika hali asiyo itarajia FUNDI Adam kinyekile(34) ,Alitembelewa na Wazungu wawili waliotoka simiyu hifadhi ya mwimba kuchukua mabaki ya helikopta iliyo tunguliwa na Majangili,wazungu hao walimtafuta na kuonana nae kisha wakamwuliza maswali mengi sana kuhusu ubunifu wake wa kuunda helikopta...
  15. zubedayo_mchuzi

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    ushauri huu naomba umfikie mh Raisi na pia nitatoa ushauri kwa ukawa nikiwa mtanzania mwenye fikra tofauti kabisa wanasiasa wa kizazi hiki. USHAURI WA KWANZA Mh Raisi nimesoma magazeti mengi ya leo tar 30/7/2016 mengi yakizungumzia mikutano ya chadema au ukawa yenye kauli mbiu ya...
  16. zubedayo_mchuzi

    Daktari wa majipu ameanza kazi nyingine mpya

    ENZI hizo jamaa kesha pumzika na ban yake muruaaaaaa
Back
Top Bottom