Habari za siku Mingi ?
Leo nilikua pale ubungo darajani stand,maeneo haya ni maeneo yangu ya kujidai kabisa toka 2006 napajua ubungo vizuri na washenzi wote wa pale tena enzi za Hamidu mzawa.
Leo naomba nikujulishe wewe mtanzania unaetumia kituo kile ni kwamba kimejaa wasafiri wengi feki,kuna...
Northern Korea inajivunia kitengeneza kombora linaloweza kurushwa mpk marekani
Ukitaka kujua hawa jamaa walianza lini michakato yao fatilia IRIs na Athena
Alafu jiulize hawa IRIS ni nani
Mmiliki wa bar kubwa maarufu mitaa ya keko Roberti Mushi, usiku wa Jumapili mida ya saa sita alimjeruji dereva kijana aitwae Ngotikwe Ramadhani kwa kumpiga na mdomo wa bastola baada ya kuzipiga tatu hewani.
Roberti mushi ni mpangaji wa fremu zinazomilikiwa na Chama Cha Mapinduzi akieleza kwa...
Je unajua rais mdogo duniani ni rais wa North Korea inakadiliwa kuwa alizaliwa kati ya mwaka 1983-1984.
Baba yake alimuandaa kuwa mrithi wake kwa sababu anafanana na muhasisi wa Taifa hilo.
Mama yake na rais wa North Korea Kim jong-un yeye alimuita "morning star king".
Inasasikika ndie rais...
Aisee nimefanya kautafiti kidogo hapa nikagundua wasichana au wanawake wengi wanaotongozwa kwenye giza huishia kuchezewa tu.
Siku zote katika ulimwengu wa vitu visivyoo onekana ,giza husimama baada ya matatizo au shida ni wazi kabisa kutongoza au kutongozwa gizani ni laana na mtaishia...
Katika hali asiyo itarajia FUNDI Adam kinyekile(34) ,Alitembelewa na Wazungu wawili waliotoka simiyu hifadhi ya mwimba kuchukua mabaki ya helikopta iliyo tunguliwa na Majangili,wazungu hao walimtafuta na kuonana nae kisha wakamwuliza maswali mengi sana kuhusu ubunifu wake wa kuunda helikopta...
ushauri huu naomba umfikie mh Raisi na pia nitatoa ushauri kwa ukawa nikiwa mtanzania mwenye fikra tofauti kabisa wanasiasa wa kizazi hiki.
USHAURI WA KWANZA
Mh Raisi nimesoma magazeti mengi ya leo tar 30/7/2016 mengi yakizungumzia mikutano ya chadema au ukawa yenye kauli mbiu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.