Kusema ukweli Mwenyekiti wa CCM kumteua Chongolo kuwa Katibu Mkuu - CCM ni kutowatendea haki wakina Msekwa,Kawawa,Gama,Kolimba,Mangula,Mukama na Kinana.
Utofauti ni wa ardhi na mbingu.
Kongole kwa muanzisha mada.
Nimesoma michango mingi,nimeona mada kama hii ina tija katika kuleta mabadiliko ya nchi yetu kuliko zile mada zinazoanzishwa kwa minajili ya udini.
Nitaweka mchango wangu kulingana na michango ya wanajamvi hapo nitakapo pata muda.
CC: Bams
Chige
Kwani mbunge wa jimbo "a" akipelekwa "futi sita chini" halafu kukatangazwa uchaguzi jimbo hilo "a", na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani akaambiwa gombea pale ili hatimaye uwe PM, hili haliwezekani kufanyika na kufanikiwa!!!??
Kwa nini isiwe, " hii hatua ya mwenyekiti wa CCM ambaye ndiye pia ni raia namba moja kuamua kukubaki mwaliko wa kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la wanawake wa chama kinzani" ipo kati kuirudisha Tanzania moja ya watu wamoja wanaoishi kwa ushirikiano na upendo huku wakiziwe pembeni itikiadi zao...
Duuuh!!
Hizi siasa za kihafidhina hazifai dada chiembe .
Kwa nini hamtaki kukubaki ukweli kuwa Mwenyekiti wenu ameona ukweli nchi ilivyokuwa kwa kuanzia 2015 mpaka March 17 2021!!!???
Sisi wengine tumesamehe na kusahau madhira yote yaliyotupata kuanzia 2015, tunataka tuungane na Mh. Rais SSH...
Hakuna Mchaga ambaye hajui kuandika "huijui".
Leo umenithibitishia maneno ya kaka yangu mmoja kuwa chama cha mambuzi siku hizi hakina watu wa kukipambania mitandaoni zaidi ya walevi wa chimpumu.
Umeandika mengi ya msingi,kongole kwa hilo ndugu Mubby777 ,lakini umepuyanga ulivyoandika kuwa lengo la Mbowe ni kushinda uchaguzi ndio ninapokupinga.
Lengo la ndugu Mbowe ni kuwe na maisha bora kwa kila Mtanzania.
Maisha bora kwa kila Mtanzania yatapatikana tu kwa kuwa na katiba bora inayotoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.