Nipo stand ya bus hapa atown mpaka raha jamaa wanapiga debe na kusema kama ni baraka kamanda G lema ana baraka kaingia town na bonge la mvua.. ,karibu mhe na Mbunge wetu tulie kuchagua wenyewe.. Viva kamanda G mandela.
Lema wewe ndiyo chaguo letu na tupo pamoja sana, tupo kimya tunasoma mchezo. Ushind upo ,atown unatufaham...mhe tulikuchagua na tutakuchagua tena. Viva kamanda. Viva aLema
Karibu kamanda hope new year tupo pamoja , usijali tupo pamoja bega kwa bega , hata wakikueka huko ikisha miaka mitano , kura zetu unazo, wanavyo kuweka muda sis huku upendo kwako ndiyo unazid kamanda worry not. Tupo pamoja. Your still in our heart komrade.. Hata jiwe litashinda atown lakin si...
Naomba kujua naona kama majengo kuna mgao wa zaid ya miezi mitatu na sehemu nyingine hamna mgao wa umeme je ni sawa jambo hili , Tanesco arusha kunashida gani na majengo ? Labda kama kuna mtaa mwingine wengine pia waseme
Huo ndiyo ukweli na hatudanganyiki he is still in our heart , haya maigizo mengine tunayaangalia tu. Sina imani nao ccm ni ile ile na wanakuja kwa style tofauti ninashida na katiba ya wananch kwanza
Hahaha ulicho kiona ndiyo nimekiona hapa ni kuwapiga chini tu maana ni usanii mtupu , watu binafsi wanaishinda serikali ? Labda ni mitambo yao hiyo wanapigia fedha hapo, viva mabadiliko
Mimi kama mmoja wa wananchi kati ya walio wengi nauliza , raisi, wabunge, madiwani hatuku wachagua kwa kura ya wazi sasa leo wanatuambia kura ya wazi , hiyo ni ya kwake yeye na maccm wenzake wasituhusishe sisi wananchi . Tunataka kura ya siri tuuuu. Au boresheni daftari la wapiga kura alafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.