Kwakweli stand kuu ya Mabasi ya Mkoa wa Rukwa iko mbali na pili bado hakuja andaliwa utaratibu wa uhakika wa usafiri kama unahitaji kwenda stand hasa kama una safari Alfajiri. Unakuta daladala hakuna na bajaji mida hiyo hakuna, unalazimika ulale stand ili usiachwe na mabasi. Kuna usumbufu mkubwa...
Habari wanazengo, Naomba msaada wa ushauri nifanyeje simcard yangu ya Halotel inasoma H+ badala ya 4G. Nipo dar mjini ambapo hakuna shida ya network, pili natumia samsung A12 ina uwezo wa kusoma 4G internet network, tatu kwenye phone settings zangu nime select 4g/lte tayari.
Nimeshafanya...
Nikweli Kiujumla Huawei ni simu kali sana tatizo lililonikuta mimi majina/contacts zangu nilizokua nasave kumbe hazikua zinaenda google, siku nabadili simu kumbe majina yote yalibaki kwenye Huawei.
Inaweza kuwa kweli maana kwa kipande kile watu wapo vizuri hasa katika jambo lenyewe lenye hatari ya kuishia mikononi mwa vyombo vya dola lazima watu wajizatiti na ukiangalia ufundi katika eneo husika upo na hata ukiwa hautoshi ufundi unapatikana border tu hapo. Dah lakin very sad r.i.p kwa...
Na wendawazimu kina Majinja, New force Wanapita mule na speed 120, Nadhani wao huona raha kulala na kona zile, pia uzoefu wa madereva kupita kila mara hujiona wanaweza kukabiliana na msukosuko wowote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.