mmh kwa kweli love haifundishwi,.,, pima mwenyewe uone ucje baadae ukajutia ushauri uliofuata, true love never end., kama moyo unauma try to re check,.. alikwambia anakupenda? ukute ni rafik 2 alaf unadhan ni mpenzi,.. mana weng 2napenda kuassume kwenye NO kuwe YES.
kwa mtazamo wangu,.. kile unachoanza nacho ndo huwa perfect kwako. lakin ukianza kubadilisha pale ndipo utaanza kutafuta inayofaa zaid na kuona zngne hazifai na hii hali hutokea pale mdada anapoanza na kubwa alaf afta dat akutane na vdogo lawama huanzia hapoooooo.,,
dats gud gal no sex til ndoa,.. ukiona hvyo ameshaona weng wanatoa na kuachwa,.. gud gal n kip t up weng wanashindwa kumaintain their virginity nwdays,..
ha ha ha ,,.. nikisema outn cmaanishi nataka vyote hvyo no,.. npo tayar kama ni dala dala 2napanda tena hata nauli ntalipa mm cpend kuwa dependent kwake kwan bado hatujaoana,.. wat i needed ni jst kurefresh me na yy 2,.. wala vi2 vingne havihucki hapo. nw nimepata point alikuwa anaogopa...
nina mpenz,.. nampenda sana ila yy anawivu kupita maelezo,.. nikifanya kidogo 2 anasema nina wanaume,.. alaf nikimwambia ukweli anadai ninamdharau,.. na kuniuliza kwan cjui yy ni mwanaume??? kwan hii hali ya ukandamizaj kwenye mapenz bdo ipo?
unakuwa na mahusiano na m2, umemtembelea mara mbili anapoishi, den akikwambia amekumis still anataka uende kwake, ukimwambia twende sehemu nyingne hatak anataka kwake, sasa is he right ukikataa anakasirika anadai unawanaume wengine,.. hii inakuaje? is he in love au interested in other thngs? au...
kwakweli ina boa ila co kwa wadada 2,.. nina evidence kabisa mkaka analalamika why uko kimya? nilishangaa kwan hata yy anpaswa kuanza,.. bado watu hawana uelewa wa mapenz ni nn?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.