We mnges.e kweli wewe...,kata 6 ndio matumizi mabaya ya rasilimali?Je yenye 13,14,16 ndio matumizi mazuri ya rasilimali?Stupid kabisa,kama umeishiwa vya kuandika soma vya wenzio
Sasa hiyo habari na Kuoa Miss vinahusiana nini?Kwani miss hafai kuolewa au kuoa miss Ni dhambi?Akili yako haina tofauti na ya yule mwanafunzi aliyeandika verse kwenye mtihani badala ya kujibu maswali
Mkuu kama hiyo habari inahusu maslahi ya nchi na watu wake including wewe halafu mtu anapoteza uhai wake kwaajili ya kukupigania/kutupigania haki yetu halafu unamuita kimbele mbele bila shaka utakua mpu.mbav.u na huna akili,shenz.i type
Mkuu Respect wa boda,ule Uzi nimeupata,nilikosea kidogo nafikiri Ni kutokana na muda mrefu kupita,soma na post zote za wachangiaji https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/397247-mwigulu-nchemba-na-siasa-za-kishirikina-iramba-magharibi.html
Ni kweli Mkuu,tena huyo Mama alipiga kelele saana mpaka watu wengine wakaamka na kuwasimulia alichokiona.Na Mwigulu ktk Uzi huo akapost kwamba"hivi jamani hamna vitu vingine vya kujadili humu".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.