masikini wengi hapa nchini waliposikia kuwa kutakuwa na mgao wa umeme nchi nzima walifurahi sana na kuipongeza serikali ya Jk kwamba kweli selikali imeamua kutujar yaani sasa kila mwananch kuvutiwa umeme!.
Baada ya mwezi kupita wakaona hali ya maisha imekuwa ngumu kupita kawaida na ilivo kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.