Nawabumbusha kuwa mtoto wako ambae anaweza kuja kukusaidia au kukumbuka fadhila kwa 70% ni mtoto wako uliemzaa yule uliemtoa kiunoni kwako au yule uliyembeba tumboni kwako huyo ndio wa kuhangaika nae kwa 100%
Ukilea mtoto wa mtu au kusomesha hakikisha saidia ila sio kwa mategemeo bali toa...
IPHONE 14 PRO MAX GB 256
[emoji736]BADO MPYAA IPO KWENYE CLEAN CONDITION
BATTERY [emoji367] 100%
FACE ID [emoji736]
TRUE TONE [emoji736]
[emoji3541]2,440,000 TU
[emoji736]MUUZAJI NI MIMI MWENYEWE HAKUNA UDALALI
[emoji736]SABABU ZA KUUZA MIMI NAPENDELEA SANA ANDROID PHONES...
Kwa kazi zangu za mtandaoni mara kwa mara na sim yenye kasi na uwezo wa kuhifadhi vitu vingi na inayokaa na chaji sana nishaurini tafadhali ninunue sim gani kwa hiyo bajeti
KARIBUNI KWA NGUO NA VIATU VIZURI KUTOKA INDIA,UTURUKI,HONG KONG NA VIETNAM
NAPATIKANA UPANGA DAR ES SALAAM
0678096545
Delivery ya viatu kwa Dar es salaam ni bure
RAM 4GB
STRG 64 GB
HAINA TTZO ,KIOO TU KINa crake ndogo ila kinafanya kazi safii kabisa,betri ina nguvu sanaaaa
BEI 160,000 Tu
Nipo kigamboni
MWasiliano 0678096545
Kuwa na michepuko mingi na uweze kuimanage isijuane ni kipaji aisee.
Vile vile nilichoexperience wanawake ukiwaendekeza wanafilisi, usipokuwa makini hutofanya maendeleo, mimi huwa napiga na kusepa siweki kambi, ila jifanye kuweka kambi kwa wanawake 4 uone mbungi lake.[emoji23][emoji23][emoji355]️
Nashangaa watu wanauziwa madawa ya unga mengine hawajui yamechanganywa na nn tena kwa bei gali wakati dawa ya nguvu za kiume ipo kwenye maji yaliyotuzunguka
Sasa niwaambie uume ni kama jicho tu huwa linajisafisha lenyewe halihitaji nguvu nyingi, ukitaka uwe rijali hadi mwanamke aombe poo nenda...
Kijana naona anaimba mziki ORIGINAL kabiasa mashairi mazuri melody nzuri hakika mziki anaujua kila la heri kwake mskilize hapo kwenye hiyo ngoma yake mpya ya TENA
Mali bado mpyaa zina mabox yake na documents zake hakuna ujanja janja, sababu za kuuza ni matatizo yanayohitaji hela ya haraka
Home theater Og ya LG WATS 1000
Ina spika 4 na mja ndogo mziki mnene kabisa
Bei ya dukani 700,000
Nauza 580,000 tu
Subwoofer ya Mr uk nilinunua 130,000 mpya dukani...
Nahama mkoa nauza chap hivyo kwa mwenye uhitaji
KITANDA CHA CHUMA 5X6 NA CHAGA ZAKE BEI 140,000 TU
FRIJI KALI LA MTUMBA MADE IN SOUTH KOREA BEI NI 180,000 MASHINE YAKE HAIJAWAHI KUGUSWA WALA KUONGEZWA GEZI NDANI YA DK 20 TU BARAFU UTALIONA
NAPATIKANA TEMEKE DAR ES SALAAM
MAWASILIANO 0678096545
Gari ya kuwahi nahitaji pesa ya haraka ukija kukagua ruksa kubeba mafundi wako wote kukagua
NISSAN WINGROAD 2006
CC.1490
FULL AC
AUTOMATIC
BEI NI 12.5 TU
GARI HAIJAWAHI KUGUSWA NA FUNDI BADO MPYA
GARI IPO ILALA DAR ES SALAAM
MAWASILIANO 0678096545
Wataalam kwa kusponse matangazo instagram hapo kwenye reques review jamani tusaidiane tunaandika nini ili kuchomoka kwenye guu mtego wa kufungiwa kutangazaa
Kwa mnaotumia instagram bonyeza link kisha follw ukurasa wetu ili uweze pata updates za viatu vingi vizuri zaidi link hiyo hapo chini[emoji116]
https://instagram.com/viatuvizuri_beinafuu?utm_medium=copy_link
[emoji115]Item Vans .. 55,000
[emoji115] Item vans ... 55,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.