Hapana, sikubaliani na @waterdeenullo,kama unakumbuka cheka pambano lilopita alibebwa na majaji kwa kusema ameshinda kwa point moja wkt hali halis tulohudhuria kwny pambano tuliyona, na hata pambano cjui km huo mchezo haujafanyka man sikuhudhuria, ngoja nijaribu kufuatilia vyanzo vyangu vya hbr...
Halafu me nadhan cheka atakuwa anamuogopa maugo ingawaje huwa anampiga, mana mapambano yote anayopgana na maugo huwa hakubali kuweka mkanda,bali inakuwa n mechi ya kirafiki na siyo ya ubingwa, mimi namshauri kama anajiamini kiukweli siku moja aweke mkanda uwanjani na liwe pambano la ubingwa na...
Halafu me nadhan cheka atakuwa anamuogopa maugo ingawaje huwa anampiga, mana mapambano yote anayopgana na maugo huwa hakubali kuweka mkanda,bali inakuwa n mechi ya kirafiki na siyo ya ubingwa, mimi namshauri kama anajiamini kiukweli siku moja aweke mkanda uwanjani na liwe pambano la ubingwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.