Hahahaa ukitaka kujua watu hawataki ujinga sahivi kasome comments kwenye posts za NASA ndo utajua watu wameamka wamechoka na na CGI’s. Moon landing ya juzi wanayodanganya imekuwa kimya ghafla😂😂
Kinachofanya urudi chini ni Density, kitu chochote kikiwa kizito kuliko hewa lazima kitadondoka chini, na kitu kikiwa chepesi kuliko hewa lazima kitaelea angani. Gravity ni hoax.
NASA wanajua Dunia ni flat ila ndo hivyo wanafanya kazi kwa maslahi ya Satan kuendekea kuwadanganya dunia ni 🌎.
Van braun baada ya kufa aliamua kuwambia ukweli wa hii Dunia, ila kwakua akili zetu zimefungwa hatung’amui.
Kama Dunia haiwezi kuwa flat naomba unijibu haya maswali kwa ufasaha,
1. Ni point zipi exactly ambapo tunaweza kuona curve ya dunia?.
2. Kwanini ukiwa angani huoni Dunia ikizunguka?, hata wao mpaka leo wameshindwa kuprove.
3. Ni kivipi maji yanacurve kwenye globe?
Hizi ni organization ambazo hujawahi kufundishwa na nyingine ndo unazijua leo, nitaelezea kwa ufupi but fatilia mwenyewe deep uzijue kwa undani.
1. OPERATION HIGHJUMP (1946).
(DISCOVERY OF THE ICE WALLS)
hii operation iliweza kugundua uwepo wa Ice walls ambazo zina act kama container...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.