Kuishi single kuna raha sana.unakuwa kama daladala,wanashuka na kupanda...me hakikisha unafunga mkanda(a.k.a ndoms)kuepusha ajali za kizembe(stds)halafu unawapanga kulingana na mwonekano wao na uelewa...kuna wa kwenda naye kwenye harusi,ubarikio,na kuna wa kwenda naye clubbing.....jst kama Zuma...
Pole sana kitomai,kifo cha mzazi,mwanzo wa wewe kuitwa yatima na mzee,si mtoto wa mama tena bali ni baba wa watoto wako...ndo ukubwa be strong...ay her soul RIP.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.