tumezoea kuona wanawake wengi baada ya kujifungua wanakuwa km wamefunguliwa kunenepa/kufutuka,ambapo kwa watu km sie wanawake wanene hatuwapendi na pia kama nimeshasababisha siwezi kumwacha kwajili hiyo japo nitaboreka.hivi wadada hamuwezi kumentain miili yenu mbali na kufanya mazoez?
kuwasiliana kwny simu au online tu bila kuonana?yale ya kusimama gizan yani meeting yenu usiku tu mchana uko busy.au kuweka bayana wa2 wote wawaone na kutambua km ya wema na daimond,au yale tangulia kansubr pale chini ya mti m nakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.