Wameru ni moja ya makabila ambayo yanaongoza kwa ukarimu na utoaji hasa zawadi wakati mtoto wao anapoowa au anapoolewa
Yani wewe ukiowa mmeru unashauriwa usinunue chochote hata kijiko mana kwa hakika utapata kila furniture na chombo kinachoitajika ndani ya nyumba kuanzia sofa, kabati la nguo...
Wameru ni moja ya makabila ambayo yanaongoza kwa ukarimu na utoaji hasa zawadi wakati mtoto wao anapoowa au anapoolewa
Yani wewe ukiowa mmeru unashauriwa usinunue chochote hata kijiko mana kwa hakika utapata kila furniture na chombo kinachoitajika ndani ya nyumba kuanzia sofa, kabati la nguo...
Wadau habari zenu
Naombeni ushauri wa namna ya kula, na vyakula gani nikila ndani ya muda mfupi nitanenepa .
Nilikuwa mnene wa wastani kwa kipindi cha mwaka mzima nikawa busy sana na kazi naweza jikuta nakula chakula hata saa kumi, alafu kiwango cha ulaji pia kikapungua yani nikila saa kumi...
Je unaijua hii
Ubora wa baba hauonekani katika mali zake nyingi ulizonazo, magari majumba, ndoto nyingi, mawazo na malengo mengi big noooo
Baba aliyebora ataonekana tu inapotazamwa familia yake (mke +watoto) wanavyoishi ita reflect ubora wa baba huyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.