Enhe!! Miujiza ni uchawi wa aina gani? Kuna aina ngapi za uchawi? tuandikie essay kabisa (introduction, main body,na conclusion)title ni UCHAWI hapo ndo takuelewa vizuri.
Ooh sawasawa nimekupata.kwahyo neno uchawi lina maana ngapi mkuu?
Na kusema "nani aliutumia kwenye nini" umemaanisha kwamba honorius alivo utumia ktk dini haikua dhambi kwakua tu kautumia kwenye dini?(hebu nitoe hofu hapa kama si dhambi nianze kufanya miujiza kwa kutumia grimoire ya Papa mimi)
Mi nieleweshe kuhusu grimoire ya papa honorius, hiki kitabu mi sikielewagi,mbona kina kama mambo ya kichawi halafu ktk practice zake na Zaburi tena zimetumika kukamilisha uchawi Ili mtu apate matokeo anayoyataka??
Kwani hiki kitabu cha Zaburi si ni kitakatifu kabisa na hua naskia wachawi...
Wakuu poleni na majukumu,
Naomba kwa anaefahamu anijuze zile CD ambazo huwekwa majibu ya X-ray ya mgonjwa zinauzwa wapi kwa MWANZA?
Mgonjwa alipigwa X-ray siku ya ijumaa wiki iliyopita ktk hospital ya serikali hapa Mwanza na ikagundulika mshipa wa kwenye nyonga umekatika,sasa tuliandikiwa...
Nielekezeni, hivi ule wali unakuaga na rangi rangi kijani,nyekundu njano n.k na unapikwa ktk sufuria moja lakini kila ile rangi inakaa palepale upande ambapo mpishi amekusudia na ukichanganya kila punje inabaki na rangi yake hua unapikwaje??
2: kupika bagger na pizza (niwekee na picha kabisa...
Ngoja wajuvi waje.ila pia unaweza jaribu kupitia nyumba kwa nyumba ukiuliza kam wanavitabu walivyosomaga na hawavisomi tena,,,,mf mi vitabu vyangu hard copy vyote niliuza baada ya kupata softcopy yake niliwauzia wale wauzaj wa madukani, kwasasa nimebaki navyo viwili Think Big cha Ben carson na...
Alichokosea ni nini?? Ungempa tu maelekezo, hujui kuna baadhi ya kazi hua wanahitaji kwanza CV na cover letter Tu halafu wakiridhika na CV ndo wanaomba vyeti???
Mpe Siku moja ya kufua nguo zake na kunyoa kichwa chake,atakaa dukani rafu mchafu mchafu nani atasogea kununua muhudumu mchafu? Biashara yako si italala sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.