Search results

  1. Whitney Houston

    Natafuta kazi yeyote kiwandani hasa viwanda vya Mwanza

    Eti mkuu hiyo 50k ukifika unamkabidhi nani Ili mtu usidhulumiwe halafu na kakibarua ukose
  2. Whitney Houston

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Mtetanus ndo ukoje? Weka kapicha mkuu
  3. Whitney Houston

    Nakala ya asili ya Goetia

    Enhe!! Miujiza ni uchawi wa aina gani? Kuna aina ngapi za uchawi? tuandikie essay kabisa (introduction, main body,na conclusion)title ni UCHAWI hapo ndo takuelewa vizuri.
  4. Whitney Houston

    Nakala ya asili ya Goetia

    Ooh sawasawa nimekupata.kwahyo neno uchawi lina maana ngapi mkuu? Na kusema "nani aliutumia kwenye nini" umemaanisha kwamba honorius alivo utumia ktk dini haikua dhambi kwakua tu kautumia kwenye dini?(hebu nitoe hofu hapa kama si dhambi nianze kufanya miujiza kwa kutumia grimoire ya Papa mimi)
  5. Whitney Houston

    Nakala ya asili ya Goetia

    Mi nieleweshe kuhusu grimoire ya papa honorius, hiki kitabu mi sikielewagi,mbona kina kama mambo ya kichawi halafu ktk practice zake na Zaburi tena zimetumika kukamilisha uchawi Ili mtu apate matokeo anayoyataka?? Kwani hiki kitabu cha Zaburi si ni kitakatifu kabisa na hua naskia wachawi...
  6. Whitney Houston

    Naomba kujuzwa zinapouzwa CD za majibu ya X-ray mahospitalini

    Wakuu poleni na majukumu, Naomba kwa anaefahamu anijuze zile CD ambazo huwekwa majibu ya X-ray ya mgonjwa zinauzwa wapi kwa MWANZA? Mgonjwa alipigwa X-ray siku ya ijumaa wiki iliyopita ktk hospital ya serikali hapa Mwanza na ikagundulika mshipa wa kwenye nyonga umekatika,sasa tuliandikiwa...
  7. Whitney Houston

    Wale tunaotaka kujiajiri tupite hapa

    Uzi mzuri, umefikiria kwa mapana mleta mada
  8. Whitney Houston

    Niulize chakula chochote nikupe dondoo ya namna ya kuandaa!!

    Nielekezeni, hivi ule wali unakuaga na rangi rangi kijani,nyekundu njano n.k na unapikwa ktk sufuria moja lakini kila ile rangi inakaa palepale upande ambapo mpishi amekusudia na ukichanganya kila punje inabaki na rangi yake hua unapikwaje?? 2: kupika bagger na pizza (niwekee na picha kabisa...
  9. Whitney Houston

    Naomba ushauri wa biashara za vitabu used

    Ngoja wajuvi waje.ila pia unaweza jaribu kupitia nyumba kwa nyumba ukiuliza kam wanavitabu walivyosomaga na hawavisomi tena,,,,mf mi vitabu vyangu hard copy vyote niliuza baada ya kupata softcopy yake niliwauzia wale wauzaj wa madukani, kwasasa nimebaki navyo viwili Think Big cha Ben carson na...
  10. Whitney Houston

    Administrative Assistant at International School of Tanganyika

    Alichokosea ni nini?? Ungempa tu maelekezo, hujui kuna baadhi ya kazi hua wanahitaji kwanza CV na cover letter Tu halafu wakiridhika na CV ndo wanaomba vyeti???
  11. Whitney Houston

    Hivi hili nililosikia kuhusu kufutwa kwa baadhi ya mashirika halitapunguza ajira kweli?

    Hivi mfano wa mashirika ya umma yasiyo na tija ni yapi? Vijana tutapauka kwa kukosa kazi,
  12. Whitney Houston

    Natafuta kijana wa kuuza duka la jumla

    Mpe Siku moja ya kufua nguo zake na kunyoa kichwa chake,atakaa dukani rafu mchafu mchafu nani atasogea kununua muhudumu mchafu? Biashara yako si italala sasa.
  13. Whitney Houston

    Tangazo la kazi la watu wa Mauzo

    Only full detailed job announcement will be applied.
  14. Whitney Houston

    Field ya IT yenye uhitaji mkubwavtanzania

    Naomba mfano wa hzo apps no 8,niorodheshee mkuu
  15. Whitney Houston

    Natafuta mchongo wowote halali, nipo Mwanza

    Panaweza kupatikana na kazi za kike hapo?
  16. Whitney Houston

    Maana ya Kiroho ya namba 1-9

    Mtu anatambua namba yake kwa njia gani mkuu, ajue yeye ni 1,2,111....... ......?
  17. Whitney Houston

    Waziri wa TAMISEMI, kwanini mmeajiri Watoto wetu na mnawalazimisha waripoti bila kuwalipa chochote?

    Mkuu hayajawahi kukufika, tulioathirika na hilo swala tumemuelewa na typos zake hivohivo,
  18. Whitney Houston

    Makampuni ya usafi mkoa wa Mwanza

    Wala sihitaji nyumbani kwa mtu binafsi.
Back
Top Bottom