Kuna mmoja kasema mwanamke wa Kinyakusya ukimgusa tigo ndo mmeachana..naona kama ni ukweli ila sijawahi jaribu hii kitu kabisa na sitaki. Hope nitaoa uko.
Duh umenikumbusha shule..Nairobi pale kawangware HIDDEN TALENT hiyo chini ya pastor ENOC miaka hiyo nilikuwa naenda Kwa wale jama pale wanapika githeri pamoja na mthogoi aisee ukiweka na parachichi yaani kishule shule hata siwezi sahau aisee
Kaisha sema yeye anakilia shida wakati mwambie aende YouTube atafuge interview ya Dada wa hapa mwanza anayeuza bakuli 40 za makande na tena wateja wake wakiwa ni wafanyakazi wa benki na wanalipa sh.5000 Kwa parkage... Sijui shida iko wapi hapo
Ili umtumie ila tayari umeshasema unamzingua...ila hadi nimekumbuka kwenda shinyanga Kwa mama Yangu maana sio Kwa Yale makande ya kwenye kupikia kuni...duh
Tatizo ni mindset yake kuwa makande ni kama ya watu maskini yaani ni chakula chaguo LA mwisho baada ya mtu kukosa namna.wakati kande linagharama zaidi hata ya pilau na linatumia gesi au mkaa zaidi hata ya nyama...sasa unyonge wa makand e uko wapi..hali hiyo kitu ni kama kachumbali kila kiungo...
Acha nionekane mshamba humu jf lakini ukweli napenda makende...
Kuna lile LA kijijini kipindi cha mvuno acha ile wanaita ngukuru...
Ile wanaweka nahidi machanga, maharange machanga, Karanga, na choroko... Halafu kuwe na maziwa mgando achana na haya ya tanga fresh..Yale yawe...
Dada wewe unaonekana ni mtalaam wa mambo ya maakuli natamani.nije nipige lunch hapo kwako ili nithibitishe ubora..
Ukweli Mimi napenda makande sio utani ni.muda tu sina na mpishi sina ila huwa siyachoki hasa yakilala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.