Habari wakuu!
Mimi ni kijana ambaye ni mzalendo na Mpenda kusimamia ukweli
Kiufupi sina chama chochote cha siasa ila nimekuwa anti-CCM kwa Muda mrefu isipokuwa kipindi cha magufuli(mambo mengi nilimwelewa)
Kiukweli maandamano ya chadema ni maandamano ya ambayo sijayaelewa maana hayana kichwa...
Habari wakuu!
Mimi ni kijana mwenye mapenzi na mziki.
Nimebobea kiasi kuandika nyimbo za dini na kwa sasa nimefocus pia (bado najifunza) kwenye production (kutengeneza beats), japokuwa sina vifaa zaidi ya pc tu.(najitafuta)
Kwa vile jamii forums kuna watu wa aina tofauti ninaomba kama kuna...
Mhubir12:1
Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
Salaam
Tunaishi, tunaondoka
Miaka 70,80,90,100 au chini ya hapo ndiyo maisha tuko nayo duniani na baada ya hapo Kuna trillions of years ya...
Guardiola anasisitiza kuwa muda wake katika klabu ya Barcelona umekwisha baada ya mkufunzi huyo wa Manchester City kuhusishwa na uhamisho wa kurudi katika mabingwa hao wa Uhispania.
Mgombea wa wadhfa wa urais katika klabu ya Barcelona Victor Font amesema kwamba anafikiri kumrudisha Guardiola...
Mchakato wa kutangaza matokeo ya washindi wa uchaguzi nchini Tanzania yanaendelea kutangazwa na tume ya uchaguzi nchini Tanzania.
Watanzania wameshuhudia anguko la wapinzani kwenye ngome zao mbalimbali zikinyakuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa nafasi za udiwani na ubunge.
Freeman Mbowe...
Habari!
Shida yangu naomba nisaidiwe Apps za Android na pc za kuingizia beat na sauti. Nataka nirekodi ngoma Sema Apps za musics hasa za Simu sizijui
Msaada please kwa anayezijua au aliyewahi kuzitumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.