Kwa wale wanaofanya ufugaji kuanzia maeneo ya ubungo mpaka kibamba;napenda kuwajulisha kwamba nimeanza kuzalisha vyakula vya wanyama wote wanaofugwa i.e. ng'ombe, nguruwe, mbwa etc.
Bei ni nafuu na kama una formula yako,tutaipokea na kukutengenezea utakavyo.
Nimetaja hayo makazi kwa kuwa ni...
Hi all,bn called for a written interview at TCAA and ts prepared by professional bodies, kwa hiyo basi naomba kwa wale ambao washawahi kufanya interviews for national audit,nssf,tpdc,pspf waniambie aina za maswali wanayopewa kwa written interviews i.e. what topics should revise on, etc.
I would...
Wala usipoteze muda kwenda,hizo ni kampuni za madawa haya ya aloe vera,GNLD,TIENS, Oriflame!...wana tabia ya kutuma msg, sometime wanakwambia uende kwenye interview then ukienda unakuta ni mkutano wa wanachama na wanaanza kukushawishi uungane nao kusambaza madawa.
...Ila kama unataka nenda,huu...
Hello,am looking for somebody to help me out with my last installment school fees which is only 2mil. I have very good results from my last semester (upper second 3.8), i study hard but i really need the financial support right now, the fee is due in May. I am studyin Masters of Science in...
I know barclays started as a corporate bank then few years later it expanded into commercial,I would want to knw exactly when (dates n data if any) this all happened.
thanx
nitapata wapi nyumba yenye room 2 na sebule kwa bei rahisi ya angalau TZS150,000 p.m!!!nina shida kweli ila sehemu nyingi bei iko juu,ningependa maeneo ya tabata,ubungo external,kijitonyama.
Naomba msaada wenu kwa yeyote mwenye information
kwa waliosoma marketing, naomba msaada wa competitive business plan yoyote nzuri!!kuna term paper naandika na nahitajika kuwa na knowledge ya business plan kidogo, mimi sijawahi kuandika business plan before.
Thanks in advance.
pole sana,but i think jaribu sana kuapply in banks hasa hizi mpya zainazoanzishwa!...na using'ang'anie profession sana kwa sasa,any job will do,baadae ndo uanze tafuta kazi za marketin!!!!...also present ur applications direct to hr/directors,usiwaogope,it also shows u serious n u really need...
....and abt ur professors outside tz,am sure u can jus coll them then u send the documents so they can write the recommendations and scan/fax the document back to you...But you need to explain to the uni u'r applyin2 kwamba ur referee will send a scanned document/fax ili wasije wakakusumbua baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.