Tumeuzwa bei ya jumla au rejareja haileweki mpaka sahihi wanafoji kuna sehemu pia imesainiwa na hao wengine bila majina yao kuwepo , chunguzeni kwa makini.
Mwenye video Nape anaenda kuomba msamaha kwa Magufuri baada ya kulazimisha na mke wake akaombe msamaha ili mke naye asifukuzwe kazi benki aiweke tumuone msaka tonge.
Tatizo viongozi wote wa hivi vyombo vya ulinzi na usalama wanateuliwa na hawahawa matapeli waliopuiga mnada bandari , na wengi wa viongozi wa mihimili wameteuliwa kwa fadhila , sifa za hivyo vyeo hawana ,
Point toe note , sio kwamba bandari ya Dar es salaam pekee imepigwa mnada mchana kweupee ,pia bandari zote katika mito na maziwa yote makubwa , tunaomba Mungu aushushe mkono wake kwa viongozi wote na wabunge mapimbi, wajinga, matapeli , majizi , mafisadi na wazandiki wanaotumia ignorance of the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.