Hamna nchi ambayo haina deni, nenda kaangalie deni la marekani uone balaa... hilo deni kulinganisha na mambo yanaofanyika ni level zetu! Kitu kingine ulitegemea zito aseme umasikini umepungua kweli?
Badala ya kuja kulala nae hadi usingizi umpitie ndio mumuhamishe nadhani angekuwa nae chumban kwake usingizi ukimpitia baba aje chumbani kwenu. Itaanza kumjengea mtoto kuwa kwanza natakiwa nilale huku na kukizoea chumba chake siku zinavyokwenda atazoea kulala mwenyewe tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.