Search results

  1. E

    TANESCO, Mgao wa Umeme waanza kinyemela?

    Wanakata mikoa mingi na hatujui sababu ni nini. Nchi yetu watumiaji wa umeme hatuna haki, hakuna sheria za kutulinda. Kata, washa, na vitu vyako vikiungua , ukipata hasara ya uzalishaji, samaki wako wakivunda kwenye jokofu utajua mwenyewe!
  2. E

    Mtu anapona ukimwi kwa njia ya miujiza ? Ndiyo.

    Ndiyo. Wako watu kadha wliothibitishwa kuwa ni +HIV kwa kupimwa mara nyigi na hali zao kubadilika kuwa mbaya, tena wengine wakafiwa na wenzi wao lakini du si mchezo, maombi yaliwaponya na hadi sasa wengine wana miaka zaidi ya kumi kila wakicheck ni -HIV! Afya saaaaaaafi kabisa. Nimewaona live...
  3. E

    Mch. Lusekelo na siasa

    CCM ni chama cha ukombozi katika lipi? Kilimo siyo, elimu nayo inadidimia, afya nayo ni yaleyale. Labda kuleana kwa kupeana vyeo vya kuteuliwa vya ufisadi. HUO NDIYO UKOMBOZI!!!
  4. E

    Ubadhilfu katika halmashauri za wilaya unaofanywa na wakurugenzi wa halmashauri ni moja ya mafanikio

    We acha tu. Kuna mtu alijiuzulu uhasibu bada ya ya kushinikizwa atie saini katika karatasi blank ambapo pesa iliyosomwa bungeni katika bajeti, wilayani mhasibu hakuona hata senti! Alafu unaambiwa anguka hapo.....!NCHI CHI HII INAHITAJI TU MABADILIKO YA SERIKALI YOTE.
  5. E

    Hey!!!! Pugu Boyz wa enzi zileee na wasasa

    Ngoja nikusaidie kumalizia jina lake. Aliitwa Aridai Swai.
  6. E

    Nimefarijika sana....Asante sana Dr.Slaa...

    Dr. Slaa Mtanzania halisi! Mzalendo mwenye uchungu na shida za watanzania. Huyu ni Dr wa ukweli!
  7. E

    End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

    Napenda niseme kwamba utabiri huu ni uzushi kwa mujibu wa Biblia. Katika MATHAYO 24 yote Yesu alieleza juu ya mwisho wa dunia kwa maana ya kuja kwake mara ya pili lakini mstari wa 36-49, anasema yeye Yesu mwenyewe hajui, malaika hawajui ila baba peke yake. Ni kama wakati wa Nuhu. Pia, mstari wa...
  8. E

    JK na wabunge wa CCM Dodoma kimenuka

    CCM ni ufalme uliogawanyika hauwezi kudumu.
  9. E

    How to use JamiiForums effectively

    Thank you for your information.
Back
Top Bottom