Vitambulisho vyenyewe havipo kwa watu wote.hapo inakuwaje?Halafu wakati tulipokuwa tunasajili walitusambazia mawakala mpaka vijijini.leo kusajili kwa kidole uwafuate ofisini.sijui huyu kikongwe mliemsajilia huko kijijini MNAMSAIDIAJE??
Tena huwa wanawachonganisha nyie kwa nyie.
Unamsikia anamwambia mwenzako mchunge huyu choli kama iba sema ongeja sahara mimi.na mwenzio anaambiwa hivyo hivyo laana wakubwa hawa
Mbona mie niliwahi kumuona aliekuwa mbunge wa kg mh kafulila.Gari lake lilipata kidogo mafua wakati likipata huduma ya kwanza.
Mbona tulifaidi jamaa alinunua birika zima la kahawa na kapu la karanga za kukaangwa.tulijumuika nae weee.
Kwa taarifa wala haikuwa jimboni kwake alipotoa ofa hii.
Salam senu kwa mpigo eti.
Ngoja niende kwenye hoja.
Hivi nyie tigo mmekuaje kutubalidikia hivi na ka-msemo kenu ka saizi yako??
Tulizoea unajiunga unapata bando la intanet,dakika na sms lukuki:
Mmekuja na huyu ndugu yenu anaeitwa saizi yako kaja kavuruga utaratibu woote.
Mimi binafsi...
Niliingia TANU 1971 Tulivyohama CCM1977 Nami nimo lakini toka Chama kilivyoanza kunenepeana kwa hoja za ndioo nikaona tuendako sasa sipo nikalichoma moto gamba lao toka 2006 sasa ndio tumefikia kutukana wazee.
Jee angekuwa hai mwl hivi matusi haya yangekuwepo? Chama kimekosa ADABU HESHIMA Wala...
Dhahabu imekamatwa miaka kumi na tano nyuma.mhhh
Walikuwa wanasubiri nini muda wote huo?ama kweli movie zingine kama za za
Bwakila ankooo ndio tunaonyeshwa wale watanzania wanaoambia sio wajinga
Mimi naona TCRA Wafungiwe maana hawalindi faragha za wateja wao.kwanini mtu amrekodi mwingine halafu wao wachekelee tu.wanatupeleka kutoiamini mamlaka ya mawasiliano.ipo hatari hata hizi namba zetu za siri kwenye miamala ya pesa kwenye simu wanazigawagawa hovyo hawa Tcra maana inatia ukakasi hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.