Search results

  1. U

    CAG njoo GPSA makao makuu kumeoza-ufisadi mtupu

    inashangaza sana kuwa gpsa inategemea uwezo na juhudi zetu lakini wachache ndo wanaofaidi.hivi mtu unaweza kuchakachua ukasahau wenzako matokeo yake ndo hayo.kama shida ni kwa wote.nimesikia mkoa mmoja kuwa hata kodi ya pango inachakachuliwa,na madili hayo yanafanywa na mpangaji.utashangaa pango...
  2. U

    CAG njoo GPSA makao makuu kumeoza-ufisadi mtupu

    sio hapo tu hata mikoani nasikia sio mambo mazuri bora ya kwetu(hq), wanasikia tu kitu fulani tayari kimeshafanyika, mgao mdogo na maelekezo juu, Mikataba inafanywa kwa rushwa tuhuma ni nyingi na wazabuni wanalalamika na kusema wanaichukia GPSA, kwanza wamewatoa wenye uzoefu na kuacha wachache...
  3. U

    Sakata la umeme nchini sasa limeingia ktk sura nyingine - LUKU

    Inatia hasira na kushangaza , hivi ni kweli tumeshindwa kuwaadabisha, jamani tubadilike, usione wanzungu na sehemu nyingine wanaandamana sio ji tofauti na haya , watanzania wenzangu ni swala la kupanga maandamano na kushikiza maabadiliko, au manasemaje, Mwanzo ilikuwa mgao wa umeme sasa ni luku...
  4. U

    Sakata la umeme nchini sasa limeingia ktk sura nyingine - LUKU

    Subiria moto utawaka muda si mrefu. Wamaezidi, hela za uchaguzi wa igunga zimatoka wapi wakati umeme tatizo, ilikuwa ni lazima kufanya uchaguzi sasa hivi kama sio uchakchuzi wa fedha,
  5. U

    Sakata la umeme nchini sasa limeingia ktk sura nyingine - LUKU

    Oyaa! Kumbukeni twatakiwa kubadirika, ukitembea bararbarni sio unaharibu utaratibu, na jeshi la police nao utafikiri huu mgao hawauoni umeme ukikatwa wote giza, nafikiri cha msingi police waturinde tuonyeshe kwamba vinavyofanyoka sio, make sisi ndo tunao umia.wake up!
  6. U

    Sakata la umeme nchini sasa limeingia ktk sura nyingine - LUKU

    Wapizani ni wewe nani atkuonyeshea njia wakati unayeumia ni wewe, badirika mwanangu hii nchi wanatuchezea, play your part acha porojo, unafikiri kina slaa, kabwe , ambowe wana shida kama wewe, fight for your life, wao wanatafuta ulaji changamka utaendelea kulia hivyo ngereja anakula na katibu...
  7. U

    Sakata la umeme nchini sasa limeingia ktk sura nyingine - LUKU

    Inatia hasira na kushangaza , hivi ni kweli tumeshindwa kuwaadabisha, jamani tubadilike, usione wanzungu na sehemu nyingine wanaandamana sio ji tofauti na haya , watanzania wenzangu ni swala la kupanga maandamano na kushikiza maabadiliko, au manasemaje, Mwanzo ilikuwa mgao wa umeme sasa ni luku...
  8. U

    CAG njoo GPSA makao makuu kumeoza-ufisadi mtupu

    GPSA sio mchezo ni sehemu ya kuzoa kila kigogo aliyepo pale, sijui wanafikiri h Edit Postawatoka make wakunyata hizo hela utafikiri wamzaliwa nazo, na bado tutawalipua zaidi ya hayo, nina mpago wa kupublish hizo picha zinavyoonyesha jinsi wnavyochakachua, Haiwezekani kabisa wazee ndio wanofaidi...
  9. U

    Champion Bus yaua watu 8

    Da1 mUNGU Awarehemu, awtie nguvu wafiwa na waliojeruhiwa!
  10. U

    Champion Bus yaua watu 8

    Hata wakitoa kafara hawachomoki nakwambia , huko kuna waka moto mtu wangu!Goole.com - Search the Net or visit Goole
  11. U

    Champion Bus yaua watu 8

    ndio, gari linkimbia wananyamanza, ajili ikitokea ndo tunfungua midomo, kwani wewe si unasafiri unajua!MUNGU AWAREHEMU!
  12. U

    Champion Bus yaua watu 8

    HE1 hujui kama kuna mipira feki ya condom watu wananunua magari, wanajenga nyumba kwa ajili ya gonjwa! acha kabisa.
  13. U

    Champion Bus yaua watu 8

    Je1 SWALA LA MUGAO WA LUKU MAKE ILIKUWA UMEME SASA NI LUKU HILO NALO!
  14. U

    Champion Bus yaua watu 8

    Kweli Mungu awalehemu kwani hawakujua kama itatokea. Lakini na sisi wasafiri tunasababisha, ukisikiliza shuhuda ambaye alikuwa kwenye gari hilo anasema lilikuwa linagonga wanaulizana ni nini? Twapaswa kubadilika kama wasafili inatakiwa tuwaambie madereva.MUNGU ALAZE ROHO ZA MAREHEMU MAHARI PEMA...
Back
Top Bottom