Nimekuwepo kwenye utumishi wa umma huu mwaka 4 sasa katika halmashauri moja huku mkoani Morogoro.Tangu nilipofika katika halmashauri hii 2020 nilimkuta mkurugenzi ambaye tayari alikuwepo hapa tangu 2018.
Kwa muda huu wa miaka 3 ambao nimekuwepo hapa,nimeona na kusikia dili nyingi za kifisadi...
Habari wakuu! Nimekuwa nikitafuta soko la uhakika la ubuyu ambao bado ni malighafi kwa miaka 4 sasa bila ya kufanikisha.Maeneo nilipo malighafi hii ya ubuyu upatikana kwa wepesi na kwa bei ya chini kiasi ambacho natamani kufanya biashara hiyo.
Basi naomba kwa mwenye kujua soko la uhakika la...
Mke wangu alikuwa anasumbuliwa na U.T.I na Typhoid. Akiwa kwenye matibabu pressure imepanda na kupoteza uoni kabisa.
Nini nifanye kumrudisha katika hali yake ya kawaida?
Habari wanao!
Nina biashara ya mashine ya kukoboa mahindi na kusaga. Nimeanza mwezi wa tatu mwaka huu, tatizo bado sijafahamu namna bora ya kuziweka hesabu kwenye daftari.
Na lengo hasa ni kutengeneza mahesabu yatakayo tumika kufanyiwa makadrio TRA.
Naomba wenye uzoefu mnisaidie.
ASANTENI.
Habari wana jf!
Naomba msaada kwa anayefahamu taratibu za kuhama kutoka halmashauri kwenda mashirika ya umma.
Mimi nilikuwa nafanya kazi katika shirika la TANESCO kwa miaka mitano nikiwa temporary.Kwa sasa nimepata ajira ya kudumu halmashauri lakini nataka nirudi TANESCO au shirika lolote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.