Kanuni za uchaguzi wa rais.wabunge na madiwani hazikatazi waweka pingamizi na wawekewa pingamizi kuweka mawakili wa kuwatetea.
Kuna kanuni inayosema kuwa wahusika watapewa fursa ya kusikilizwa. Hii inajumuisha haki ya kusikilizwa kwa kutumia wakili.
Taarifa yangu ni kuwa Tume ya Uchaguzi...
Maendeleo ya Nchi yoyote Duniani yanaanza na "Rasilimali Watu", rasilimali nyinginezo kama madini,mafuta,maliasili mbalimbali ni nyenzo tu ambazo bila Rasilimali Watu yenye Elimu, Ujuzi (skills), Ufahamu, Ubunifu, Uthubutu na UHURU na Haki, Maliasili hizo nyingine hazitokuwa na faida yoyote kwa...
The Court is not knight errand going about knocking down bad laws/executive decisions. Otherwise, who will be the parties? It is the duty of every citizen to protect/defend legality. Besides, if the rule of natural justice bars any interested party to be a judge of his own course, who will judge...
Rais wetu huyu dahh [emoji2948][emoji2948][emoji2948], sijui tulijikwaa wapi 2015 [emoji1381]. Inamaana sheria inayotoa muongozo wa nani amwadhibu mwanafunzi haina maana sasa...Utaratibu wa collective punishment tulishaachana nao tangu mwaka 1994, tume ya Nyalali..Mambo yanayoendelea sasa...
kwa majeraha yale ya lissu lazima alikuwa sedated ili apoteze maumivu, kupewa dawa za usingizi ilikuwa ni lazima ili apatiwe huduma ya kwanza. Kwahiyo mbowe hakukosea alivyosema na pia lissu hajakosea..Tuache ushabiki usio na maana
wewe kwa akili yako ya kilumanga unadhani Lissu baada ya kupigwa risasi angetibiwaje bila ya kupewa dawa za usingizi atulie alale. Au ulitegemea na yeye kwa hali yake ile aingie kwenye kikao cha kuamua apelekwe Nairobi au Muhimbili? Acha ushabiki wa mambo yasiyo ya kibinadamu..
hivi hili tatizo la hela kurudishwa kwa paypal mlilimalizaje? na mimi nimepata shida hii hii Bulldog C.T.U Brakelyn Bulldog UncleUber Chief-Mkwawa #Njunwa Wamavoko
mkuu tafadhali pitia na huku utupe uzoefu wako
Habari zenu wakuu. Leo hii nimelipia gari '2002 Suzuki Carry' toka Japan. Lina specifications kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini. Ninachotaka kujua ni gharama ya kulitoa bandarini 'Dar es Salaam Port charges', Registration, Shipping Line etc ni kiasi gani kwa uhakika, ili nijue najiandaa...
mkuu kwahiyo gharama yenu itakuwa kiasi gani?
nashkuru sana kwa ushauri mkuu, naamini hapa Tanzania kuna mafundi wazuri tu ambao wanaweza kulishughulikia swala hili kwa gharama nafuu bila kuharibu gari yangu. Nikikosa itanilazimu kurudi kwa dealer tu
Habari zenu wakuu, nina shida kidogo nahitaji ufumbuzi. Miezi miwili iliopita nilinunua gari toka Japan (2001 Land Cruiser Prado) na kwa sasa limeshafika na nimeanza kulitumia. Tatizo ni kwamba, limekuja na funguo mmoja tu ambao ni Master Key. Kwakuwa nina uzoefu wa siku nyingi wa magari...
Atapata smartphone mpya lakini sio latest smartphone, atapata smartphone ya kizamani. Hata S3 Mpya Box Sealed hapati kwa bei hiyo..bora aendelee kutafuta used smartphone (mint condition) ambayo ina specification za kisasa,,
mwenye thread atusamehe bure tu kwa kujadili gari zingine ndani ya thread yake..
sasa mkuu kuna 1996 Nissan Caravan Coach na 1996 Nissan Caravan Van, yako ni ipi kwasababu ushuru unatofautiana?
Anyways, Ushuru wa 1996 Nissan Caravan Coach ni hivi..
Ushuru wa 1996 Nissan Caravan Van ni...
kwa hesabu za chap chap nadhani atakuwa anauza bei kuanzia 10mil hapo akiwa ameweka kafaida chake kidogo. Ukiagiza toka Japan (Beforward) inakuwa hivi.
CIF (DAR) = $2380 ~ 4,130,000/=Tsh. (1$/1700Tsh) + TT Cost
TRA Duty ~ 4,800,000/=
Shipping Line, Port Charge, Clearance Fee, Motor Vehicle...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.