Leo wakati akikagua machinjio ya Vingunguti amesema maji na uchafu wote unaotoka hapo machinjioni yaelekezwe kwenye mifereji maalum hadi mtoni.
Swali ni mto gani huo utakaokuwa unapokea huo uchafu?
Pia hatuna teknologia ya kushughulika na huu uchafu badala ya kuutupa mtoni ambapo watoto wetu...
Serikali ichukue hatua za haraka kupeleka angalau Lori mbili za dharura
===
Baraza la madiwani halmashauri ya Jiji la Mbeya limehoji kukosekana kwa kondomu kwa takribani miezi minne katika kumbi za starehe, baa na kwenye vilabu vya pombe jambo lililoelezwa kuwa linaleta hofu ya kuongezeka kwa...
Mlitaka kumfurahisha mama kwa kusogeza mechi mbele ili watu waangalie uzinduzi wa kitabu cha Mwinyi pia kumpa mama nafasi ili aje uwanjani. Kiki hii iligonga mwamba.
Kiki ya pili mnataka kuwapa lawama Yanga na TFF wakati UJINGA mmeufanya nyinyi wizarani. Hii kiki ya pili nayo itawatokea puani...
Siku ya Mei mosi mama alitoa ahadi ya ajira 40,000 mwaka huu wa fedha. Cha kushangaza wametangaza ajira 9000.
Ummy Mwalimu aliliambia bunge kuwa wataajiri watumishi 12,000 katika kada ya afya ila wametangaza nafasi 2000.
Wito serikali waache janja janja na uongo uongo.
Jana kwenye mkutano kati ya Rais na wazee wa Dar es Salaam aliwaomba msamaha kwa kuwalazimisha wavae masks/barakoa.
Swali: Huo msamaha ni wa nini? Maana dunia inapitia janga la Corona hivyo kuwalinda na kujilinda ni jukumu la kila mtu sio suala la hiyari au kubembelezana.
Pia kama kamati...
Kuna watu wamekatwa majina kwa sababu tu ni marafiki wa Membe. Sasa hivi CCM hata uhuru wa kuongea na mtu asiyepatana na mwenyekiti haupo. Taifa linakwenda wapi?
Kuna watu walitoa rushwa hadharani kama Kingwangala, Waitara na Gambo ila majina yamepitishwa. Kuna wengine wamekatwa kwa kisingizio...
Hapa ni Mungu tu aliyemuokoa huyu dogo. Sisi tuliosoma Physics japo ya St. Kayumba tunajua nini kingemkuta huyu dogo baada ya Injini kuwashwa.
Kwa kifupi hata unywele wasingeambulia ndugu zake.
Jana baada ya JPM kumchamba binti wa kigogo sio kigogo 2014, Mwelentuli Malecela ndio kwanza kamuongezea umaarufu huko Twitter.
Kwa siku moja tu ya jana followers wake wameongezeka kutoka 40,000 hadi 52,000.
Ombi langu mh. JPM wewe ni mtu mkubwa acha kupoteza muda kuchambana na wanawake.
Ona...
Watanzania wenzangu, napenda kutoa wito kwa serikali na chama changu cha mapinduzi kuwa katika vita hii ya corona tuwe makini sana na kauli zetu.
Tumeshafanya makosa tukubali kurekebisha. Tuache visingizio vya mabeberu, mashine za kupimia n.K
Majirani zetu wote wamechukua tahadhari na...
Botswana, one of the few democracies to still enforce the death penalty, on Saturday executed two men convicted of murder.
The latest executions bring to four the number of hangings since President Mokgweetsi Masisi was elected last October.
Moabi Seabelo Mabiletsa, 33, and his co-accused...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.