Search results

  1. ntamaholo

    Azam Media yapata haki za matangazo ya ligi kuu Kenya kwa Mkataba wa Miaka 7 wenye thamani ya Tsh. Bilioni 23

    Azam Media na Shirikisho la Soka Kenya waingia mkataba wa haki ya matangazo kuonesha ligi ya Kenya wenye thamani ya Shilingi za Tanzania Bilioni 23, kwa muda wa miaka saba. Hii ni hatua njema kwa kukuza ligi za ukanda wetu. Wakenya toeni support kwa Azam media, mtafurahia sana. Viva Azam. Viva...
  2. ntamaholo

    Kila kitu cha watanzania ni kichafu

    Tanzania ustarabu wa usafi hauzingatiwi. Jana nilikuwa Benjamin Mkapa Studium. Pamoja na kutangaza kufanya ukarabati, sijui wamekarabati nini. Uwanja mchafu kila kona. Kuna nguzo moja nimeona imeoza kwa maji. Yani hata kupaka rangi tu kuta, korido na maeneo mengine ni shida. Vyooo havina maji...
  3. ntamaholo

    Kama vipi, Kigoma ipewe hadhi ya kuwa nchi ijitawale

    Wana bodi salam Nyumbani kwetu kigoma. Nimezaliwa na kukulia hapo kabla ya kuanza kusafiri kwenda nje ya mkoa wa Kigoma. Kigoma ni mkoa ulio jirani na nchi za Rwanda na Burundi. Kwa nilivyo tembea, sijawahi kuona mkoa wowote ulio jirani na nchi nyingine wakazi wake wananyanyaswa na kubaguliwa...
  4. ntamaholo

    Babu Seya: Hawa wahusika wako wapi na wanaendelea vipi hasa baada ya Babu Seya kuachiwa?

    Nimekuwa natafakari sana, na nimekuwa nasoma maandiko mbalimbali kuhusu kesi ya Babu Seya, mengi yamesemwa, mengi yameandikwa. Swali langu ni kwa hawa mashahidi waliojenga hoja kwa upande wa mashtaka, wako wapi na wanaendelea vipi? Tanzania ni ndogo sana na jamii forums iko kila eneo. Nawasilisja
  5. ntamaholo

    Jumla ya ubadhirifu serikalini na taasisi za serikali

    CAG katoa ubadhirifu na upotevu wa mabilion ya shiling, lkn sijaona ni kiasi gani kwa ujumla kimepotea ambacho kama kingekusanywa kingerumika kulipia miradi mbalimbali ya serialli. Mwenye kujua total value of government loss ni shiling ngapi tafadhali.
  6. ntamaholo

    Kuwa kiongozi na ngozi nyeusi ni laana

    Juzi nilikuwa naelekea bunda kutokea Mwanza. Kuanzia Magu hadi bunda, mashamba ya mahindi yote yaliyo kando ya ziwa Victoria yamekauka kwa kukosa mvua, mengine yako chini ya mita 100 toka ziwani. Nilianza kufikiria, hivi tunahitaji bilion ngapi ili mashamba yote yaliyo kando ya ziwa victoria...
  7. ntamaholo

    Wakenya bwana!

    Sina neno kabisa. Matapeli wa kenya
  8. ntamaholo

    Kibera itapendeza, Kibera oyee

    Wana bodi, Nchi maskini na watu masikini wapatao 12,000 wa Kenya, watanufaika na mabanda 6000 yenye uwezo wa kibeba watu wawili wawili yatakayo gawiwa na china mara baada ya mashindano ya kombe la dunia kumalizika. Ndugu zetu wa kibera watanufaika kwa mpango huu maana ndio hawana mahali pa...
  9. ntamaholo

    TANESCO kama wanaona sifa yani!

    Ukiangalia jinsi wanavyokata umeme, utadhani wanafanya jambo la kishujaa kabisa. Nchi kuna watu yafaa wachomwe moto
  10. ntamaholo

    Wapo wapi William Lukuvi na Palamagamba Kabudi?

    Wanabodi salama? Mwamba Lukuvi na Kabudi wako wapi? Bungeni wanaonekana kweli? Au wanaendelea kutoa ushauri ikulu post walizopewa na mama?
  11. ntamaholo

    List of Bilioneaz in Africa. Kenya hata top 100 hakuna

    Nchi imeendelea, nchi watu wake wameendelea wakati hakuna tajiri hata mmoja. Tulieni nyie mnaongoza kwa wizi na kujimilikisha ardhi tu siyo mambo mengine Link: https://www.forbes.com/lists/africa-billionaires/?sh=3880d6424d5c
  12. ntamaholo

    Chikumbalanga sukari ya warembo yuko wapi?

    Kuna mwamba kutoka Mbeya anaitwa Chikumbalanga. Mwaka wa 2018-2020 ilikuwa boom kwake. Alijizolea umaarufu na akaanza kupata matangazo ya kibiashara. Mabeberu wakambrand, akawa hot mjini. Lkn leo hii akaunt zote alizokuwa anatumia hazijulikani zilipo. Iliyopo, post ya mwisho ni muda sasa. Wapi...
  13. ntamaholo

    Hali ya umeme Tanzania

    Magufuli alipoingia madarakani 2015, alijua wazi kabisa, mgao uliokuwepo ilikuwa dili za wakubwa. Kazi ya kwanza aliyoifanya, ni kukomesha dili hizo. Baadae meneja wa TANESCO huko Kidatu akakutwa na ukwasi wa kutosha akashindwa kuutolea maelezo. Hajulikani hadi sasa yuko wapi. Magufuli...
  14. ntamaholo

    #COVID19 Taarifa za waliolazwa na wanaofariki kwa corona ziwe wazi kama wamechanja au hawajachanja

    Kwa takwimu hizi za corona, naishauri serikali iweke kumbukukumbu sawa. Ianze kutoa taarifa za:- 1. Waliochanja 2. Waliolazwa na kama wamechanja au hawajachanja. 3. Waliofariki ieleweke wazi kama wamechanja au hawajachanja. Iwapo jamii itaona waliochanja hawapo hospitalini kwa corona...
  15. ntamaholo

    Kwa nini TV stations hazitaji muda?

    Wakuu Redio wanataja muda lkn TV hazitaji muda. Hata kama wako live si rahisi kutaja muda. Au vipindi vyao vyote hata kama ni live huwa ni recorded?
  16. ntamaholo

    Kuhusu trending on YouTube

    Wana boda salaam. Naombenj shule kidogo ya kuhusu YouTube tranding. Diamond aliachia wimbo wake siku moja kabla Kiba hajaachia ngoma yake. Wakati diamond ana views 3m ndani ya siku tatu na masaa mengi, Kiba ana views 3.2m ndani ya siku mbili, karibu ziwe tatu. Swali langu ni kwa nini Kiba...
  17. ntamaholo

    East African Derbies

    1. Tanzania 2. Burundi 3. Rwanda 4. Sudani 5. Uganda 6. Kenya Ukibisha toa sababu zako https://www.goal.com/en-tza/lists/ranking-soweto-derby-africas-five-biggest-derbies/1pfihuv83rtqn1j0x9wvyltuid
  18. ntamaholo

    Poleni na magaidi

    Poleni sana mashemeji kwa mashambulio ya kigaidi
  19. ntamaholo

    Right to privacy

    Kenya imeanza kuvunja haki ya faragha kwa kuzuia askari polisi kuchumbiana na kuona. Hii siyo haki kabisa, ni uonevu
  20. ntamaholo

    Tabia ya Wakenya kutaka kila kitu kiwe chao wataacha lini?

    Hii kasumba ya kutaka kila kitu kinachoshine kionekane ni cha Kenya imekithiri sana. Kilimanjaro iko Kenya Samatta ni mkenya Idris sultan ni mkenya Diamond ni mkenya Ali kiba ni mkenya Harmonize ni mkenya. Kila kitu kizuri wao ni chao
Back
Top Bottom