Chief umemaliza vyote,hapo hujaweka featuring alizofanya cow-bama, huyu kipindi mabibo hostel inavuma alibadili ile nyimbo ya hotel ya cassid ikawa mabibo hostel kuna ile in da club ndio mnamfananisha na kenge gani wa kizazi hiki alivyosema akifa pengo halina spea alimaanisha..
Gari nzuri sana,engine ndogo kwa gari ya caliber yake 2.5i diesel na ina turbo,mbio ndio zimelala kama unapenda mbio unachanganya faster,na nisix speed,shida yake ni spare,ikizingua unapark,ziagizwe japan/Thailand,ila sio gari ya kuharibika hovyo pia,maana ni level ya ford everest,toyota fortuner.
Balaa lake zito hiyo engine ndogo ila speed ni hatari,ila vifaa vyake havipatikani sana bongo,ila unaagiza tu siku hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes nijuavyo mimi CEO /President barrick ndio mwenyekiti wa board ya Acacia,so barrick kusema wamesha peleka mapendekezo waliokubaliana na serikali wako sahihi,press ya acacia ni ya management ya acacia,utakumbuka mara ya kwanza prof john alisema atalipa$ 300 management ya acacia ikasema...
kumbuka wali drop Harvard sio udsm they better take a note,havard mtu 1product ya havard tunae hapa tanzania anasumbua sana ,mikataba yote ya upigaji yupo, na hashtakiwi,maana hakuna ushahidi wa kumfunga,anatumia akili,pale hawasomi wajinga ni vichwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
hapa ni few mita kabla ya barafu camp,kuna view nzuri sana watu wanapiga picha,nilipanda mwaka jana na ile geita kili challenge,sikufanikiwa kufika uhuru,muda wa kwenda summit,oxgen yangu ilienda low to 47% mzungu 1 akaniambia haitakiwi kuwa below 80% nikajishukia sikutaka kurisk but i was there...
acha kuongea vitu usivyo vijua kuwa na fact kwanza ,lugendo mi mwajiriwa wa acacia,chief advisory government relation ,lini amekuwa mwajiriwa wa serikali..chuki dhidi ya binadamu wenzenu ni mbaya sana
Pole sana mkuu,nalaani hiki kitendo cha kihuni,ulichofanyiwa ingawa saiz wanaficha ficha ingawa video inawaumbua,wasamehe tu bure maana haki haita tendeka.ingawaje jeshi linahitaji marekebisho makubwa sana,
Crown gari stable ila haina mbio,ukiwa na rangerover na unatembea,hiyo crown haitaona umepita wapi,vw bmw,benz,audi, hizo ndio gari,hiyo ingine ni jaguar sasa amua mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.