Kimsingi mahusiano ya mapenzi hujengwa kwa kuwa karibu, ndo maana kila mmoja wenu at first alimwona mwenzake kwa mbali kisha mkafanya utaratibu mkakaribiana mkaongea the next step ni kuwa karibu kwa maisha ya kawaida and then to zero distance so inawezekana kuwa mbali mbali but iwe kwa muda tu...
Kwa mtazamo wangu hatua ya rais kumrudisha dj(david jairo)likizo ili kuipa kamati ya bunge nafasi ya kumchunguza jairo inaweza kuleta mtafaruku wa kisheria hapo baadae kwa mantiki kwamba bwn jairo ni mtumishi wa serikali na sio mtumishi wa bunge kwa msingi huo hata kama taarifa ya kamati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.