Jamani si hivi karibuni mkuu wa mkoa dsm aliunda tume ya kuhakikia maeneo yote wa wazo (open space), na zoeli hili liliwagharimu watu kufukuzwa kazi na wengine kuhamishwa vituo, sasa hii tokea wakati hata machungu hayajapowa, jamani nchi hii kweli imeuzwa
Baadhi viongozi wa Tanzania ni mafisadi sana wanapenda sana kujilimbizia mali nyingi na kuwadhulumu walio wengi sana wanafanya watu waishi kwa uduni mkubwa sana na dhiki, hawakumbukia kwaba nao siku moja mauti itawachukua, na kwamba siku moja watakutana na Mwenyezi Mungu kwenye kiti cha enzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.