Sie Answar sunna leo ni chungu cha 30 means kesho lazima tufungue, ila wenzetu wanaosubr mpaka mufti atangaze bado wapo njia panda ( yaumul shakah) . All n all kesho ni Eid el fitr.
Njia nyepesi ya kumpata boss mjuaji. Mfano ww ni mpaka rangi, usiwe na haraka. Hakikisha unajenga uteja dukani. Mpange muuzaji kwanza kuhusu huo mchongo.
Mfano zinahitajika ndoo 6 za weather gurd. Andaa ndoo moja tupu safi, ijaze maji then ipeleke pale shop km bosheni. Siku ya kwenda kununua...
Acha uzwazwa, kila mtu natabia zake pia kumbuka watu hubadilika. Kila mwanamke anaupumbavu wake jua hilo ndgu. Kama umekutana na mjinga atabaki na ujinga wake milele na knyume chake ni kweli.
Wendawazimu kibao tunaishi nao bila kujua.
Sasa omba Mungu usiowe mwendawazu utawachukia wanawake wote...
Tapeli mbele ya majambazi yalovaa mask.
Watu wamechoka bora ww mwenye wazazi na hutaki kurudi kwenu kwa kiburi chako. Itabidi ujue kwann mungu alielekeza mzae kwa shida sio kwa jasho.
Watz nionavyo wengi ni vichaa, takwimu zinasema ukiona kundi la watu kumi, sita kati yao ni hamnazo. Nashawishika kuungana na jaamaa anaedai shida ni kula ugali.
Unakuta mtu anacoster 2 marejesho analipa, anajenga nyumba, dereva anapata chake, konda, mpiga debe bila kusahau kodi inalipwa na...
Babu harithiwi,. Umeshindwa kurithi alivyoacha baba yako unahangaika na babu? Hatari sana mtafutaji. Nakuhakikishia ukiendelea kujipendekeza ktk familia yao wewe ndo utakuwa wa kwanza kumfata huyo baba yao.
Nyie si ndo mliwasapoti big shark na Jack chan kwamba watoto wao watafute zao, sasa shida nn hapo.
Tusipende kushadadia mambo ya watu. Kila mtu na njia yake kupata kukosa mipango ya maanani. Mbona kikongwe wa wakojako alilamba mabilioni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.