Rais Donald Trump aliwauliza washauri wake iwapo atoe amri ya kushambuliwa kwa vinu vya nyukilia vya Iran akiwa amebakiza miezi 2 aondoke madarakani.
Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa jarida la New York Times.
Hata hivyo washauri wake wa usalama walimuonya kutofanya hivyo kwa sababu hatua hiyo...
Vikwavo vya kuuza na kununua silaha vya UN dhidi ya Iran vilivyo dumu kwa muongo mmoja vimemalizika hii leo. Hatua ya kufika tamati kwa vikwazo hivyo kutaiwezesha Iran kununua na kuuza silaha zake.
Hata hivyo licha ya vikwazo vya silaa taifa hilo limekuwa likiimarika kijeshi kila kukicha na...
Kama kichwa cha habari kinavyo sema kwakweli waafirika hasa vijana tuna takiwa kujitafakari tena kwa kina.
Kila siku tumekuwa na mtindo wa kuwalaumu wana siasa kwa umasikini wa nchi zetu ,lakini tatizo lipo kwetu hasa hasa kwenye fikira zetu. Ukitaka kuamini hilo fuatiria kampeini zinazo...
Kuna rafiki yangu ana tatizo la fangasi za mdomoni miaka miwili sasa amejaribu kutumia dawa za madukani lakini haziishi.
Ameshatumia dozi zaidi ya nne lakini wapi.
WanaJF tusaidiane labda kuna njia nyingine za asili za kukabiliana na tatizo hilo? Maana linamsumbua sana.
Huwezi amini kwa mujibu wa BBC Iran imemtupa nyuma ya nondo balozi wa Uingereza nchini humo kwa kuchoche maandamano nje ya chuo kikuu, wakati kwa sheria za kimataifa balozi huyo ana kinga ya kidplomasia.
Hawa jamaa linapokuja suala lá kulinda serikali yao hawaangalii mtu usoni aisee.
======...
Kwanza kama kichwa cha habari kinavyosema; kutunguliwa kwa hiyo ndege kumenifanya kuwachukia wanasiasa waliojaa upuuzi. Mara ya kwanza nilikuwa natetea kudunguliwa kwa ndege hiyo nikidhani ni kwa bahati mbaya.
Lakini baada ya kusoma habari kwenye mtandao wa shirika la habari la ujerumani la DW...
Akili za Trump anazijua mwenyewe baada ya Iraq kuiamuru Marekani kuwaondoa wanajeshi wa Marekani nchini humo kutokana na Marekani kukiuka makubaliano ya uwepo wa wanajeshi hao.
Trump hakuchelewa kujibu kwa vitisho kama kawaida yake amesema Iraq ikitaka Marekani iondoke bila kinyongo basi nchini...
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,imekuwa ni desturi kwa mataifa yenye nguvu kuyatumia mataifa dhaifu kuoneshana umwamba hivyo kuyaharibu mataifa husika na kuwahangaisha raia wake.
Mfano mzuri ni kinacho endelea ndani ya ardhi ya Iraq kati ya Iran na marekani, baada ya kupigania nchini sirya...
Wana jf wenzangu mm ni kijana wa miaka 24 kwakweli mapenzi yanani sumbua sana na yameniweka njia panda.
Kuna denti mmoja mwaka kesho anaingia kidato cha 3 nimetokea kumpenda sana.
Huyu denti familia yao kwa kiasi fulani ni masikini, kwa hiyo huwa anatembeza vitumbua kwenye ndoo mitaani...
Mimi ni kijana wa miaka 23, kwa miezi kama 7 hivi nimekuwa nikishambuliwa na chunusi na upele usoni.
Upele wenyewe ni mkubwa na nikiuminya yanatoa usaha. Nimejaribu kutumia sabuni na mafuta aina mbalimbali lakini yamekuwa yakipona alafu yajirudia tena.
Wadau ninaomba msaada ninawezaje...
Siku hizi kumezuka tabia ya wafuasi wa kiongozi mtarajiwa wa malaika kuwatuhumu watu wanao mkosoa kiongozi huyo ya kwamba wanatumwa na mabeberu kumhujumu.
Mimi huwa ninacheka sana kuona mfuasi wa kiongozi huyo wa malaika anasema kwa kujiamini eti mabeberu hawaitakii mema nchi yetu. Hivi ngoja...
Nisipoteze muda niende moja kwa moja kwenye mada, hakika viongozi wengi wa kiafrica wanashangaza sana hasa linapo kuja suala la kipinga ubeberu.
Kiongozi wa kiafrica anasimama kupinga mabeburu, kutumia nguvu walizonazo kuzinyanyasa nchi changa na zisizo na nguvu, lakini wakati huo yeye anatumia...
Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu,Wtz tumekuwa tukijifanya tuna pendana na hatuchukiani ,lakini ukifanya utafiti una gundua hali ni tofauti.
Mfano ni humu jf sasa hivi limekuwa ni jambo la kawaida kwa watu kukejeri dini za watu mtandaoni, wengine pasipo na aibu kabisa ,wakati huo...
Rais wa marekani Dornad Trump amesema, tiyari wamesha tambua ni nani aliye husika na shambulizi kwenye mtambo ya kuzalisha mafuta ya Saudia arabia, na si mwingine bali ni Iran lakini pamoja na hilo hataki kabisa vita na Iran.
Akiongea leo usiku katika ikulu ya marekani amesema na hapa namnukuu...
Kama kichwa cha habari kinavyo sema, waafrica iwapo hatutacha upumbavu wa kutumia neno mabeberu ili kuficha madhaifu yetu ,basi tusitegemee kuendelea na bara letu lita zidi kuwa masikini mpaka mwisho wa dunia.
Unashangaa viongozi wanafanya maamuzi ya hovyo lakini likitokea la kutokea kutokana...
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,nimetokea kumpenda binti mmoja ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili.
Binti huyo tulianza kuonana pale alipokuja anauza vitumbua kwenye kijiwe ninacho fanyia kazi miaka miwili iliyopita,basi kuanzia kipindi hicho nikawa mteja wake wa vitumbua.
Nimekuwa...
kwa mujibu wa shirika la habari la Ujerumani DW rais wa marekani ameionya vikali Uturuki kutowashambulia wakurud baada ya wana jeshi wa marekani kuondoka la sivyo iwekewe vikwazo vitakavyo athiri uchumi wake .hata hivyo Uturuki inaonekana kupuzilia mbali vitisho vya marekani rais wa Uturuki...
Heli ya mwaka ndugu zangu wana jf niende moja kwa moja kwenye mada .Tangu vita vya siria vianze mwaka 2011 nimekuwa mfatiriaji wa matukio yaliyo kuwa ya kiendelea katika vita hivyo.
Lakini kinacho nichanganya ni nia ya Uturuki kwenye vita hiyo hasa kutokana rais wake yaani Erdogan kutotabilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.