Search results

  1. N

    Msemakweli akamatwa, ahojiwa Polisi; aachiwa

    Jamani huu ni uwanja wa great thnkers. Msikashifu mapema bila utafiti. Msemakweli kafanya utafiti wa miaka miwili nyie mnadai kakurupuka. Nyie ndo mnakurupuka. Mtuhumiwa hakamatwi badala yake mtuhumu hilo ndo lakujadili na siyo upupu wenu huo.
  2. N

    Msiba CHADEMA Mwanza

    Poleni wafiwa wote bila kujali itikadi wala chama. Mungu ilaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Ameni.
  3. N

    Vigezo vitakavyotumika Kumuengua mgombea wa Igunga hivi hapa!

    Zemarcopolo hujaeleweka. Mada ipo very open. Eleza ueleweke.
  4. N

    Barua: Zitto akataa posho za vikao

    NIKUPATEJE nakupongeza sana kwa kuwa upo makini na unachimba kwa undani zaidi. Watu wasikubali kuletewa unafiki wa gazeti wakaukubali bila kuwa na hakika. Walete nyaraka inayoonyesha kweli wote wamesaini exept zitto. Wekeni ushahidi. Nawaambien hiyo ni janja ya CCM
  5. N

    Membe: Gaddafi amefikia mwisho lakini hatuwatambui waasi!

    Ukistaajabu ya musa utaona ya filauni.
  6. N

    Huyu ndiye Mkullo

    Kweli tanzania inabaki fupa tupu lisilo na nyama.
  7. N

    JK atoa kafara MSOGA

    Mbona mnaloga hivo?
Back
Top Bottom