Search results

  1. G

    Tatizo la NOKIA ASHA 311 Msaada!!!

    kwani kuna fundi wa simu kweli????
  2. G

    Tatizo la NOKIA ASHA 311 Msaada!!!

    nai delete vipi hiyo program
  3. G

    Tatizo la NOKIA ASHA 311 Msaada!!!

    Mdau charge inaweza kuisha bila kuwa unatumia simu aidha kusikiliza music au kuchat mfano naicharge inakuwa full hadi ninapolala naichomoa then asubuhi nakuta imebaki ba moja...inaweza kuwatatizo la charge kweli??????
  4. G

    Tatizo la NOKIA ASHA 311 Msaada!!!

    vipi mkuu kwa hiyo hapo inatakiwa nifanyaje!!!!!!
  5. G

    Tatizo la NOKIA ASHA 311 Msaada!!!

    mkuu cijakupata sorry mkuu nipe
  6. G

    Tatizo la NOKIA ASHA 311 Msaada!!!

    hapana mkuu hii application imekuja na simu nina miezi sita toka nianze kuitumia lakini hili tatizo limeanza kama wiki 3 zilizopita!!!
  7. G

    Tatizo la NOKIA ASHA 311 Msaada!!!

    Simu yangu katika siku za karibuni imekuwa na tatizo la betri kuisha haraka bila kuitumia nikaja kugundua kuna program (MUSIC) ina update playlist naombeni msaadajinsi ya ku close nitashukuru sana kwa msaada!!!
  8. G

    Balozi wa Tanzania nchini malawi akana kufukuzwa!!!

    Balozi wa Tanzania amekana taarifa zilizosambaa kwamba kapewa masaa 48 kwamba anatakiwa aondoke nchini kwao kwa mujibu wa taarifa kutoka ikulu Balozi PATRICK TSERE amekanusha uvumi huo.
  9. G

    Jinsi ya kusave video downloaded from internet

    jamani naombeni msaada wa kusave videos mabzo umeidownload katika website mbalimbali manake naishia kuangalia tu lakini nikitaka kusave nashindwa msaada pliz mwenye kufahamu shukrani mbele..................
  10. G

    Kwa usaliti huu ntajifikiria sana

    jamani mimi narudia tena nilikuwa sifahamu kama ni mke wa mtu na nilijilaumu sana kwa hilo nililofanya all in all tukubali USALITI katika NDOA kwa sasa ni mkubwa sana jamani mara ngapi tunashuhudia makanisani,makazini, na sehemu kadha wa kadha hii kitu lazima tukubali usaliti katika ndoa upo...
  11. G

    Kwa usaliti huu ntajifikiria sana

    MODS HAYA YOTE MNAYAVUMILIA:lol:!!!njoo kwa hoja mara ya kwanza sikuwa nikiffahamu kama ni mke wa mtu
  12. G

    Kwa usaliti huu ntajifikiria sana

    kwa kweli frankly speaking sikuwa nafahamu kama ni mke wa mtu hadi tulipokuwa chumbani na kupigiwa simu na huyo bwana ake sasa kutokana na maongezi waliyokuwa wanaongea ndio nikagundua ni mke wa mtu na baada yakumuuliza alikiri
  13. G

    Kwa usaliti huu ntajifikiria sana

    WADAU siku ya jana nilikuwa na demu mmoja hivi ambaye ni mke wa mtu ila huyo jamaa akealisafiri sasa kuna muda jamaa ake akampigia simu yule demu duh jamaa alivyodanganywa ni noma aisee imeniogopesha sana na kunifanya nijifikirie mara mbilimbili kuoa ama kutooa kumbe kwenyendoa ndo kupo hivi
  14. G

    Breaking news: Tetesi yanga yamtimua kocha mkuu wake

    habari ambazo bado hazijadhibitishwa rasmi na uongozi wa yanga africans ni kuwa kocha mkuu wa timu hiyo TOM SANTIEF nae pia ametimuliwa baada ya kuwasimamisha kazi secretariet nzima ya timu hiyo.
  15. G

    Waziri Mkuu apitisha chekeche kwa wakurugenzi wa halmashauri

    juzi tumesikia katika vyombo vya habari mkurugenzi wa halmashauri ya wilya ya nzega anatuhuma za kifisadi na pia naibu waziri TAMISEMI MH MWANRI alitumwa huko kuchunguza vipi yeye hahusikina mabadiliko haya au hawa ndo wale wenye god father!!!!!????
  16. G

    Dr. Hamis Kigwangalla Kufanya Maamuzi Magumu Jumanne wiki ijayo

    Nimetafakari na kupata ushauri wa familia, ndugu, wazee, jamaa na rafiki zangu na sasa nimefikia uamuzi, nitauweka wazi kwenye press conference nitakayofanya Jumanne wiki ijayo!!! N.B HII NI KAULI RASMI YA MH KIGWANGALA KATIKA UKURASA WAKE RASMI WA FACEBOOK LEO TAR 07/09/2012
  17. G

    LOVE story..................Nani hunufaika sana na mahusiano.....(Me or Ke)

    kama vipi na wewe hamia uko upate hiyo faida au kubali masaburi yafanyiwe kazi upate hiyo faida
  18. G

    Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

    nipo mahakamani hapa nzega suala linaloweza kumpa ushindi ni magufuli kutoa ahadi ya kujenga daraja la mbutu!
  19. G

    Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

    acha uongo wewe gari la maji ya kuwasha lipo wapi?
Back
Top Bottom