Mdau charge inaweza kuisha bila kuwa unatumia simu aidha kusikiliza music au kuchat mfano naicharge inakuwa full hadi ninapolala naichomoa then asubuhi nakuta imebaki ba moja...inaweza kuwatatizo la charge kweli??????
Simu yangu katika siku za karibuni imekuwa na tatizo la betri kuisha haraka bila kuitumia nikaja kugundua kuna program (MUSIC) ina update playlist naombeni msaadajinsi ya ku close nitashukuru sana kwa msaada!!!
Balozi wa Tanzania amekana taarifa zilizosambaa kwamba kapewa masaa 48 kwamba anatakiwa aondoke nchini kwao kwa mujibu wa taarifa kutoka ikulu Balozi PATRICK TSERE amekanusha uvumi huo.
jamani naombeni msaada wa kusave videos mabzo umeidownload katika website mbalimbali manake naishia kuangalia tu lakini nikitaka kusave nashindwa msaada pliz mwenye kufahamu shukrani mbele..................
jamani mimi narudia tena nilikuwa sifahamu kama ni mke wa mtu na nilijilaumu sana kwa hilo nililofanya all in all tukubali USALITI katika NDOA kwa sasa ni mkubwa sana jamani mara ngapi tunashuhudia makanisani,makazini, na sehemu kadha wa kadha hii kitu lazima tukubali usaliti katika ndoa upo...
kwa kweli frankly speaking sikuwa nafahamu kama ni mke wa mtu hadi tulipokuwa chumbani na kupigiwa simu na huyo bwana ake sasa kutokana na maongezi waliyokuwa wanaongea ndio nikagundua ni mke wa mtu na baada yakumuuliza alikiri
WADAU siku ya jana nilikuwa na demu mmoja hivi ambaye ni mke wa mtu ila huyo jamaa akealisafiri sasa kuna muda jamaa ake akampigia simu yule demu duh jamaa alivyodanganywa ni noma aisee imeniogopesha sana na kunifanya nijifikirie mara mbilimbili kuoa ama kutooa kumbe kwenyendoa ndo kupo hivi
habari ambazo bado hazijadhibitishwa rasmi na uongozi wa yanga africans ni kuwa kocha mkuu wa timu hiyo TOM SANTIEF nae pia ametimuliwa baada ya kuwasimamisha kazi secretariet nzima ya timu hiyo.
juzi tumesikia katika vyombo vya habari mkurugenzi wa halmashauri ya wilya ya nzega anatuhuma za kifisadi na pia naibu waziri TAMISEMI MH MWANRI alitumwa huko kuchunguza vipi yeye hahusikina mabadiliko haya au hawa ndo wale wenye god father!!!!!????
Nimetafakari na kupata ushauri wa familia, ndugu, wazee, jamaa na rafiki zangu na sasa nimefikia uamuzi, nitauweka wazi kwenye press conference nitakayofanya Jumanne wiki ijayo!!!
N.B HII NI KAULI RASMI YA MH KIGWANGALA KATIKA UKURASA WAKE RASMI WA FACEBOOK LEO TAR 07/09/2012
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.