Uwezi kurudisha siku na nyakati nyumba, na daima Kuna vitu vikipita Huwa vimepita ijapokuwa si rahisi kusahaulika
Mimi niseme inaweza kuwa ni ndoto mbaya kwa Kibibi ikamsumbua kuliko wahanga.
Nilitamani kufahamu baada ya hapa, alibadili Majina yake au alihama nchi
EDITED
KIBIBI MMASA BAKAR...
Habari wakuu,
Nahitaji wenye uzoefu au mifano halisi katika hili nisije ingia mkenge au kufanya maamuzi sio mazuri
Nilikutana katika ofisi napofanya kazi na Mwanamke ambae tuliwahi kusoma wote miaka mingi Chuo kikuu lakini hatukuwahi kuwa karibu. Zaidi ya kusalimiana mara chache tunapopishana...
Huyu Mzee amekuwa kero katika kuhusika destabilizing Serikali za jirani zake.
Kama haitoshi ametuhumiwa kujaza mashushu wake Kila Kona, kinachomshinda kwasasa amepima moto anaona hawezi directly confrontation na Tanzania kama anavyofanya kwa Burundi na Congo.
Lakini ni suala la Muda tu. Wakati...
Sioni dalili ya kuisha hii Vità Leo au Kesho làkini vitazidi kusambaa.
Na wakati huu Viongozi wa Afrika hasa ukanda wa Jangwa la Sahara kama hawatakuwa na maamuzi ya Hekima Kuna Hatari maisha yakawa kama kitu ambacho Congo inakipitia.
Pia eneo la Uchumi au mfumo wa Uchumi utapata shida na pia...
Nakumbuka nilikuwa naangalia Tv ilikuwa Channel ya kanisa flani la nje ya Nchi ingawa ni la hapahapa Afrika.
Nakumbuka alisema kuna nchi flani ingawa haikutaja jina moja kwa moja itaivamia kuna nchi baada ya hapo kuna mataifa yataungana kupigana na hiyo nchi.
Na vita hiyo itapiganwa kwa miaka...
Karibu ya Nusu ya vifaa vya kivita vilivyotelekezwa na Askari wa Urusi tangia kuanza kwa phase ya pili ya Vita hiyo February 24 (phase ya kwanza Crimea 2014). Ukraine inatumia vifaa vya Mrusi kumuadabisha.
Pia kuna ripoti ya drone ya Shaheed kutoka Iran ambazo zimeangukia mikononi kwa Ukraine...
Umepata picha Urusi itakuwa taifa gani? Ukiwa jela zake zinaenda wasomba vijana ambao hawataki kushiriki vita ya Putin?
Huku vijana wengi walioondoka kwa kutoroka phase ya kwanza baada kutangazwa vita ambao wengi ni elite na wengine kuanza kutoroka katika phase ya pili baada ya kulazimishwa...
Mara ya mwisho alionekana akiposti matangazo ya dawa za mitishamba na nguvu za kiume
Vita inaendelea Urusi ameanza mobilize askari wa akiba (kwa kiswahili Sanifu Jeshi la akiba ni "mgambo).
Na imekuwa adimu sana kupata habari za Warusi au ndio wanasubiri Phase ya pili ianze?
Mara ya mwisho...
Wakati wakiendelea kupelekewa moto unaowafanya vijana kuanza kukimbia Kwao wakijifanya Raia na wengine wakitoroka hadi na Baiskeli.
Kichapo kimekua kizito Kiasi hata askari mmoja wa Ukraine kuogopwa kuwa tishio na kukimbiwa na Askari wenye Vifaru na infantry waliopewa lifti.
Sasa wamerudi...
Wakati anasomwa mchezo na kakalia miji kadhaa kadhaa ya Ukraine.
Kama kawaida yake na mbwembwe nyingi alinukuliwa akitolea mfano jinsi Peter au Pyotr the Great alivyouchukua St Petersburg kutoka kwa wa Sweden akibainisha akuteka ila alichukua kilichokuwa cha kwake.
Hivyo SMO ni anachukua vya...
Sifurahii Anguko la Urusi (ingawa Pro Russia wengi wanasababisha masuala yaende kishabiki). Urusi mwenye nguvu Dunia nzima tunamuhitaji na Muda unavyozidi kuyoyoma China atabaki njia Panda sababu anamuhitaji pia Mrusi mwenye nguvu.
Urusi mwenye nguvu alichangia sana Harakati za Uhuru kwa nchi...
Ivan Neparatov (36) ambae alikuwa jela akiwa na kesi tano za mauaji akitumikia kifungo cha miaka 25 jela.
Katika harakati za kuongeza jeshi la Urusi nae alikuwa mnufaika wa uhuru (parody) na malipo ya fedha kwa Kujiunga na Jeshi la Urusi upande wa Mamluki (Wagner Group). Na kupelekwa Mstari wa...
Kuna mshikaji mmoja ana cheo kunishinda kazini tuliwahi pishana pale kazini baada kumgundua alikuwa ananichafua kwa mameneja (ilitokea mazingira ya kupandishwa cheo kazini) ofisi ilinipendekeza. Kwahiyo akawa anawatumia watu tofauti nionekane sifai nina kiburi (ukweli mimi ni mtu mkimya)
Sasa...
Unapozungumzia Teknolojia, Kisiasa na kimifumo ya Maisha Duniani na Uvumbuzi nadhani Wayahudi wanabaki kuwa watu wenye akili Duniani na kuheshimika
Tunaona leo mtu aliekuwa na damu ya kiyahudi Zelensky anavyomhenyesha Putin anayetaka kuunda tena Mfumo ambao ulihasisiwa na Wayahudi ukaifanya...
Leo hii unapotazama wanaoipigia promo sana kurudi kwa USSR ni Urusi tu na ndio maana wananchi wa Beralusi walipotaka muondosha Rais wao mwenye mfumo wa Urais unaoendana na Urusi.
Urusi aliingilia kati na akafanikiwa kulinda madaraka ya Rais wa Belarusi, Ingawa kwa Rais Pro Russia wa Ukraine...
Wakati vita ikiendelea Vizuri na malengo yetu kutimia bwana Putin amemuweka Pembeni waziri wake wa Ulinzi Shoigu.
Na majenerali wameanza kumruka kutoa ripoti (Chain of Command) hivyo anabaki kama pambo. Si ajabu tukasikia hapo baadae kuwa ni msaliti akapotezwa kama hulka ya ya bwana Putin...
Katika kuendelea kukiwasha kwa wana Magharibi amepitsha amri akishirikiana na Bunge ndio Mzee la Urusi (DUMA) Kuwafungia kabisa kuingia katika ardhi takatifu ya wavaa kobazi. Mmiliki wa Meta Mark Zuckeberg na Hunter mtoto wa Biden.
Wakijumuisha na raia wengine zaidi ya 900 wa Marekani na nchi...
Warusi wamefikia 80k mpaka sasa lakini kwa mujibu wa SPUTINIK na RT bado wanaripoti Special Op ni watu wao 3k tu waliofariki
Na malengo yatafikiwa, Urusi inasubiria muujiza wa 1942-43 ambapo baridi litabadilisha upepo wa vita( wanasahau wanaopambana nao pia sio wa magharibi pia na wamashariki...
Ndipo inafahamika tu CIA na MOSSAD nadhani ndio tasisi za Intelejensia zenye nguvu kwasasa Duniani
KGB imepambwa sana
Tunaona siraha za West ambazo zimeingizwa Ukraine na impact yake kubwa katika vita hiyo HIMARAS na JAVERIN
Wakati tumeona siraha za Urusi ambazo bwana Putin alizipamba sana...
Kama adha kama dawa Sigara yazidi kufuata Vikosi vya Urusi vinavyojaribu kujichmbia ndani ndani kabisa ya Crimea kujinusuru na matumizi ya Sigara. Kwa Bahati mbaya walipo wana Z na Sigara itakuwepo tu karibu zaidi.
Tumeshuhudia Hypersonic nadhani Urusi kabakiza tu Nyuklia na wanamsubiri tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.