Habari zenu...Mimi ni mhitimu wa shahada ya Geoinformatics kutoka Ardhi university. Nina upper second class.
Natafuta mahali pa kaz,internship au kujitolea katika makampuni ya GIS kama GIS analyst & expert.
Vile vile ninao uwezo was kufundisha masomo ya GIS na Remote sensing so nitakua tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.