Ni kawaida kwa wanasiasa kulegeza kila kitu unapofika uchaguzi mkuu je kwa mwakani watumishi wategemee neema?? Au mzee hana hofu kwamba ata bila kura za watumishi yeye urais upo pale pale.
Je watumishi mwakani wategemee neema kubwa??
Wanazengo mpo?
Ase hivi kuna umri ukifika unakuwa hauna yule close friend hasa kwa sisi wanaume au ni Mimi binafsi??? Kuna umri ule ambao ukiwa bado bachela hauna familia unakuwa na wana mda wote mnaiva story sana
Lakini kwanini ukishaoa na kuwa na familia tu marafiki kikawaida hupungua...
Kwanza kabisa nianze kwa kuwapongeza chuo kikuu mzumbe hasa tawi la Mbeya mko vizuri sana katika kutoa elimu ya juu kwa watanzania...
Mimi nimechunguza mda mrefu kwa mkoa wa mbeya katika vyuo vilivyopo mbeya chuo kinachofundisha kozi ya ualimu ngazi ya Shahada ni kimoja tu SAUT pekee ambacho...
Hii ndiyo bajeti ya kuelekea mwaka wa uchaguzi je zile ahadi za jpm kuwafurahisha wafanyakazi wakati ndiyo umefika??????
Au girisi itaendelea kuadimika adi vyuma vivunjike???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho nina mgeni katoka town anakuja mkoani tumefahamiana humu humu jf ata wiki haijafika toka apost anataka mchumba duh kaniamini kiasi hiki ngoja nimpokee tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wenzangu binafsi mwaka unaisha hivyo lakini maisha kwangu ni magumu tu sana yani.
Kiukweli napambana najitahidi kubana matumizi lakini kamshahara nakopata pamoja na vipesa vidogo vidogo navyopata kutokana na shughuri za ujasiriamali zinaishia kwenye misosi na kujenga kapangara kangu tu...
Mimi nina 30 umri nipo mbeya nimeajiriwa sirikalini lakini pia nimejiajiri mwenyewe.
Nahitaji mke mwenye umri kuanzia 23 mpaka 27 awe mrefu wa wastani kabila lolote..dini yoyote naomba awe mfanyakazi au mjasiriamali.
Nicheki inbox.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.