Nimekuwa nikijiuliza hilo swali apo juu mara kadhaa kama tusingetawaliwa kuanzia waarabu mpka mkoloni mzungu inamaanisha hizi dini zisingekuepo.Je,hayo yalitokea kama mapenzi ya Mungu?
Kufuatia vibonzo vya Masoud Kipanya kupenyeza ujumbe fulani wa muhimu nimependezwa kuona kuwa vibonzo vyake vyote vya kila siku view updated kwenye huu uzi tukijadili ujumbe uliokusudiwa.
Nimejaribu Mara kadhaa kutafuta Ila hakuna movie ya kibongo lakini kwa wenzetu wakenya naona wameweka movie zao.
Swali linakuja inawezekana bongomovie hazijafikia level za kimataifa au vipi?
Habari!
Ningependa kujua utaratibu wa kufungua health laboratory ikiwemo usajili wa serikali upoje pia na gharama za kuanzisha vikiwemo vifaa muhimu.
Asante!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.