kila mji wenye wanafunzi waliokosa mkopo waandae maandamano ya amani faster kupinga utaratibu ulotumika kutoa mikopo mwaka huu pesa zipo ,tena ni mkopo mtarudisha mkimaliza kusoma
watoto wa wakubwa wao hata wasipopata mkopo wanasoma,tena vyuo vya nje sasa wanchi wenza tuuganishe nguvu tuwatetee wanyonge maana bila loan hawataweza kusoma hata semister moja,
what are you waiting up to this moment my dear friends for those who didn't get the loan they are under stress they don know about their future about loan up to this moment ,where is peoples power
Jamani wanafunzi mpo wapi jaman,inatakiwa kuunganisha nguvu kwa wanafunzi wote kudai mkopo kwa kuwa ni haki ya msingi.mnaogopa nini kwani mmeshaanza chuo ndo mseme mtafukuzwa kama udom au
Wanafunzi wote walioomba mikopo wote wana vigezo vya kupata huo mkopo kwa kuwa walipewa vigezo ndipo wakaomba so naona hawatendewi haki jaman , ni vigezo tatizo au pesa ndio hamna?
Mim naona wanafunzi waliokosa mkopo hawajatendewa haki kwan pesa wanazopewa wanafunz watarudisha mbona mabilion mengine yanapotea bure kwa kumnufaisha mtu mmoja au wawil tu,je tanzania itendelea bila wasomi wa elimu ya juu,serikali haini kuwa ni suala muhimu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.