Search results

  1. J

    Heslb

    kila mji wenye wanafunzi waliokosa mkopo waandae maandamano ya amani faster kupinga utaratibu ulotumika kutoa mikopo mwaka huu pesa zipo ,tena ni mkopo mtarudisha mkimaliza kusoma
  2. J

    Heslb

    watoto wa wakubwa wao hata wasipopata mkopo wanasoma,tena vyuo vya nje sasa wanchi wenza tuuganishe nguvu tuwatetee wanyonge maana bila loan hawataweza kusoma hata semister moja,
  3. J

    Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

    giv me chance
  4. J

    Heslb

    what are you waiting up to this moment my dear friends for those who didn't get the loan they are under stress they don know about their future about loan up to this moment ,where is peoples power
  5. J

    Heslb

    Jamani wanafunzi mpo wapi jaman,inatakiwa kuunganisha nguvu kwa wanafunzi wote kudai mkopo kwa kuwa ni haki ya msingi.mnaogopa nini kwani mmeshaanza chuo ndo mseme mtafukuzwa kama udom au
  6. J

    Wanafunzi waliokosa mkopo ina maana pesa hazipo? Mnakubali hivi hivi tuu... Wadau mnaonaje?

    Kilimo kwanza au elimu kwanza jaman hii nchi inaelekea wap? Vijana amken tuwe na uthubutu wa kuhoji mambo ya msingi ndugu zangu.
  7. J

    Wanafunzi waliokosa mkopo ina maana pesa hazipo? Mnakubali hivi hivi tuu... Wadau mnaonaje?

    Wanafunzi wote walioomba mikopo wote wana vigezo vya kupata huo mkopo kwa kuwa walipewa vigezo ndipo wakaomba so naona hawatendewi haki jaman , ni vigezo tatizo au pesa ndio hamna?
  8. J

    Wanafunzi waliokosa mkopo ina maana pesa hazipo? Mnakubali hivi hivi tuu... Wadau mnaonaje?

    Mim naona wanafunzi waliokosa mkopo hawajatendewa haki kwan pesa wanazopewa wanafunz watarudisha mbona mabilion mengine yanapotea bure kwa kumnufaisha mtu mmoja au wawil tu,je tanzania itendelea bila wasomi wa elimu ya juu,serikali haini kuwa ni suala muhimu?
  9. J

    Wanawake wanajua kudeka we acha tu!

    Kudeka ni kawaida kwa wanawake jaman achen wadeke tu lakin sio kila wakati
Back
Top Bottom