After application
“Your application for AVN is received and pending for verification, will be informed via email & sms
Its status is 119:48 hours”
Si miyeyusho hii
Angalia idadi ya watu ambao ni wafuasi wa makanisa hayo
Hao wanasimama kama wawakilishi wa waumini wao.. ni mara ngapi viongozi wanaowawakilisha wananchi wanashindwa kutetea maslahi ya wananchi
Kupunguza migogoro na mijadala isiyo na mantiki kila mmoja apewe zawadi yake
Kama magoli ya penalty sio magoli basi yasiwe yanahesabika katika kuonyesha idadi nani anaongoza katika ufungaji
Kiuhalisia wote wana deserve kupata zawadi sawa ya top scorer
Ukisema baada ya kulingana magoli ndipo uangalie magoli ya penalty Je ingelikua Mayele hajafunga goli leo si angesalia na magoli 16 akiwa nyuma ya Ntibazonkiza kwa goli moja.. naam hiyo tofauti ingemfanya antibiotic kuwa kinara lakin...
Ku simplify mchakato pamoja na haya uliyoyaeleza nyooka na mfamasia wa wilaya kama pharmacy unayotaka kifungua iko makao ya mkoa nyooka nao wote wawili (wa wilaya na mkoa)
Tabora pamekua hovyo kabisa
Walianza kutoa taarifa kila siku eti kuna hitilafu sasa kibaya zaidi unakuta umeme unakatwa 7AM unarudishwa 06PM na rotation ikawa inafanana kwa maeneo
Hatimae waliamua kutoa ya upungufu wa umeme ratiba iliyoanza J3 inaenda mpka Jpili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.