Ni takriban miezi miwili tangu kuzinduliwa wa michuano ya African Football League (AFL) ambapo mabango ya matangazo ya umeme yalianza kufanya kazi kwa mara ya kwanza
Lakini katika hali ya kustaajabisha baada ya mechi chache tu kuchezwa uwanjani hapo, mabango hayo hayafanyi kazi tena na badala...
Habari za mda huu wanajukwaa...
Je unakumbuka siku yyaliyotangazwa matokeo yako ya form four..
Share nasi uliyapokeaje? ulijisikiaje?, kuna kitu gani unique ulifanya unakumbuka?, ulikuwa katika hali gani?
Wakuu naomba kuelekezwa namna ya kupata kitambulisho cha ujasiriamali vya rais Dr Magufuli
Nini kinahitajika hadi ukipate, sehem vinapopatikana kama ni halmashauri au ofisi za TRA naomba kujuzwa
Kesho ni tarehe 01/04 siku ya wajinga duniani, nawakumbusha tu maana kuna wadau wana utani unaweza hata ukalia
Ni tukio gani huwezi kulisahau kuhusu hii siku?
Kuna mpuuzi alinialika lwenye sherehe na akanipanga kabisa ukitoka nyumbani waambie wasikuwekee chakula, basi nafika kwao nakuta patupu...
Wakuu habari za muda huu...
Katika harakati zako aa kutafuta kazi ni swali gani uliwahi kuulizwa katika interview/usahili likakutoa jasho au ukawa unajibu huku unajua kabisa kama unajibu upuuzi?
Vipi ushakutana na wale ambao wanauliza maswali ya kukomoa hadi ukahisi kabisa lengo lao sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.