Tangu Mzee Mwinyi alipothibitisha kwamba 'Tanzania ni kichwa cha Mwendawazimu' sijawahi kuwekeza hisia zangu kuzishabikia timu za Tanzania maana kichwa cha mwenda wazimu yeyote aweza kunyoa
Tabby; Ahsante kwa kunitia moyo na dhahiri nimeishi kwa yale ninayoyaamini. Kuna mdau amenishauri niende polisi kwanza nikatoe ripoti ya kuwa insecure, nimeona kama itanisaidia. Sijui hilo walionaje?
Njema kabisa; Mkuu, nilikuwa nafanya kazi private sector chini ya kiongozi mwandamizi mkoani na sijalipwa mshahara wa mwezi huu na sina mwanya wa kudai. Tatizo ni kwamba hata sehemu nilipokuwa nafanyia kazi yangu ya kitabu kuna mashushushu wao. Ni bora ningezalisha copy nyingi na chama...
Nimekuwa mwanachama mwaminifu wa CHADEMA ninayemiliki kadi no. CDM 0413468 tangu mwaka 2009. Nimewahi kukitumia chama katika nafasi ya uongozi nilipokuwa chuo kikuu na hata mtaani huku kanda ya ziwa. Nilipata kufanya kazi kwa ukaribu kabisa na viongozi wakubwa...
Nimekuwa mwanachama mwaminifu wa CHADEMA ninayemiliki kadi no. CDM 0413468 tangu mwaka 2009. Nimewahi kukitumia chama katika nafasi ya uongozi nilipokuwa chuo kikuu na hata mtaani huku kanda ya ziwa. Nilipata kufanya kazi kwa ukaribu kabisa na viongozi wakubwa...
Nimefanya maamuzi magumu, hata kama watahama viongozi wote niwapendao lakini daima nafsi yangu imeridhia kuwa mwanachama wa kudumu wa CHADEMA na muumini wa UKAWA kwa kadri itakavyokuwa. Hizo propaganda za Lumumba ni kama mchezo wa Nimefika...Bado!
Ni mada nzuri kipropaganda haswa kwa ninyi wafugaji wa JF nyuma ya key board, ila msisahau kwamba na sisi tuliobomolewa nyuma na Magufuli hatutampigia kura
ikhlas; Kifupi ni kwamba Kamati Kuu ya CCM inadaiwa kusimamia maadili mema ndani ya chama tena kwa kufanya kazi kwa ukaribu na kamati ya usalama. Lakini kamati husika imeonekana kukosa kazi nyingine baada tu ya kukata jina la Mhe.Lowassa katika mchakato wa kugombea urais kupitia CCM...
Nimefuatilia kwa umakini mkubwa kuhusu kinachoitwa Kamati ya Maadili ya CCM na kugundua kwamba ni genge la viongozi waandamizi wanaofanya pamoja na kazi nyingine, kubwa ni kupandikiza viongozi wapya madarakani ili waende kulinda maslahi yao. Wakati ambapo kina Steven Wassira wakiwapiga ngumi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.