Habari wakuu
Nikama miezi miwili hivi nawashwa sana
nikimaliza kuoga.
Naweza kaa nusu saa nzima najikuna hii inaweza kuwa inasababishwa na nini?
Natiba yake ni nini?
Habari,
Nahitaji mtu anaejua Kutumia Social media vizuri mwenye uelewa mzuri...wa namna ya Kutumia mitandao ya jamii.
Hii sio Ajira ya kudumu like nahitaji kuelekezwa kwa Muda mufupi kwa ajili ya matumizi yangu binafsi.
Please njoo DM. I know information isn't free.
Napatikana Dodoma Mjini...
Nimenunua headphones kwa ajili ya sports Mostly Jogging
But hazikai kwa sikio zinateleza kwa jasho.
Headphones nzuri kwa sports Ni zipi na Bei gani?
Moderator naomba unibadilishie heading plse... Headphones nzuri kwa ajili ya sports.
Hizi nimenunua 25K
Ukiachana na ile chopping board iliyopata mrejesho hasi.
Pia Kuna kifaa hua natumia Sana..kwa jiko langu...nacho Ni MBUZI..
sijui mbuzi kwa English inaitwaje.
Je, Wewe kitaa gani unatumia zaidi jikoni kwako?
Naamini Hata wanawake wanapenda wanaume wenye twabia njema...
Kuna wanaume wanatabia zoote chafu zinazopatika kwenye jamiii iliyooza..
Siwezi zitaja Tabia zote haya. Kila mtu anajua ndani ya Moyo wake Tabia njema na mbovu...
Kuna wanaume Wana pesa lakini wanatabia mbaya kiasi Kwamba wanawake...
Habari menu,
Mimi nimezoea Sana Kutumia chopping board jikoni kiasi kwamba nikitumia mikono najikata Sana na kisu vidole.
Lazima nitumie chopping board kukata nyama, mboga zamajiani...vitunguu yaani almost kila kitu.
Chopping board yangu ni kuuu kuu Sana na more than ten years
Anyone else...
Nimekuwa natafakari
Ili mwanamke apendwe au aonekane ni mke mwema..
Anatakiwa awe kilaza?...yaani Division four na zero zimuhusu?... Elimu ilishushwa kwa ajili ya jinsia Fulani?
Mwanamke hutakiwi endesha Gari zuri...Eti Utakosa mume?... Mwanamke hutakiwi kuwa na pesa na Mali Eti Utakosa mume...
Kumekuwa na TABIA mbaya Sana ya waphamasia kuibia dawa wagonjwa.
Unaweza kuwa umeandikiwa Dawa ya siku 7...wanakup ya siku tatu kwa sababu wanajua hujui...Tena wanakufungashia vizuri kwenye kimfuko unaondoka zako..hi imetokea Nakiete Dodoma....Sijui kwanini wanakuwa hawana uaminifu.
Tena...
Katika maisha yangu nilikuwa na furaha na Amani na nilikuwa single kabisa sio wote walio single wanastress.
Basi baana akatokea mtu from no where na Ahadi kem kem nakujifanya ananipenda Sana but in reality haikuwa hivyo based on his actions...ile nakupenda kwa Maneno but hata ukituma msg...
Habari,
Nimekuwa nikisimama kwa Muda mrefu kwenye shughuli zangu.
Miguu kwenye unyayo inauma...nlienda hospital wakanipima kisukari (5.7) na Syphilis (non reactive)
Doctor Akanipa paracetamol.
Ushauri wenu tafadhali
Kuna hi Hali ya Madoctor na wanasayansi kukataza wanawake kuweka vitu vya kiasili ukeni. Huku kwenye mitandao ya kijamii kumekuwa na Matangazo Mengi sana.
Kuna mengine ya kusteam uke tukumia herbs, mengine ya kuweka unga wa mbegu za maembe kubana uke na mfanowe..na wengine wadai wanarudisha...
Habari,
Simu yangu usiku kucha imeingia 46% baada ya kuicharge.
Na kila nikicharge inashuka asilimia badala ya kuongezeka.
Je, shida itakuwa nini?
Msaada wenu tafadhali
Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini? Kumpigia mpenzi wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea ni kumnyima Uhuru? Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?
Kwa kweli nishaurini sielewi
Je mwanamke anapoolewa.. Anachofuata Ni Mali za mwanaume yaaani Magari, maghorofa na mfanowe?
Je anafuata urafiki, uhusiano, Mapenzi ya dhati, kufanya Mapenzi, Utulivu wa nafsi au Heshima?
Je ukipewa Hizo pesa na magari na majumba.. ukawa tajiri hlafu mwanaume akawa anaonekana kwa nadra sana...
Habari,
Nina mdogo wangu Ni clinical officer ( Ana Diploma) Ni in charge huko vijijini.Amekuwa aki.apply kwenda kusoma course mbali mbali za afya na hapati huu mwaka wa tatu.
Course alizoomba
Health Management System- Mzumbe
Health information system- Udom
Clinical Nutrition and dietics-Udom...
Mimi naona kuna watu wanapaka makeup mpaka nashangaaa...Yaaani nawaza hichi kitu gani?
Au labda ni macho yangu tu...Yaaani unakuta mtu kapaka makeup badala ya kuehance beuty inakuwa tofauti.
Kuna wengine wanapendeza kweli....Lakini WENGINE hapana.
Huyu dada..anatangaza vizuri jamani..yaani napenda sana anavyotangaza "African wired"
Yaaani i like her confidence na jinsi alivyo a swagger za kipekee kabisa..
Kong'ole kwako ladyhaha
Salaam,
Shuka langu Jeupe lilipata bloodstain usiku, asubuhi nikaliloweka na sabuni ya Doffi, nikalifua jioni, Lakini madoa hayajatoka.
Je nawezaje kutoa hayo madoa..?
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.