My good friend, bunge lolote la vyama vingi lazima liwe politicised; sasa ukianza kuwapa majukumu ya kuidhinisha hizi post yataanza malumbano yasiyoisha, and worst of all wata-ipoliticise process yote, matokeo ni madudu tu. Sistem iliyoko ni zuri tu kinachotakiwa ni kwamba zile checks and...
WanaJamii, habari za jioni.
ninahitaji mkopo wa kiasi cha 10m - 15m hivi. Ninayo plot katika manispaa, chenye hati ya manispaa Morogoro. Naomba msaada wa kujua namna ninavyoweza kupata mkopo wa kiasi kilichotajwa. Mabenki wamenizingua tu. Nahitaji kujua kama kuna taasisi (siyo benki) au watu...
"Tanzania ya Magufuli itakuwa ni Tanzania ya viwanda". !!?? Hivi viwanda vitaendeshwa na nishati gani?!!? Umeme hakuna. Na mkurugenzi wa Tanesco ni story-teller mwingine, alituambia mabomba ya gesi yaliyozindliwa TWO WEEKS AGO ni ufumbuzi. Wapi (!!) Mpaka leo mgawo upo palepale, tena ndio mkali...
Unfinished house for sale; located in Arusha Kwa Morombo.Three kms from Morombo centre. Vyumba 4including Master-bedroom, kitchen, dining room, store, large hallway, 3-car parking.
TAS15,000,000/=NEGOTIABLE. Call: 0754 37 5474
Ohio Muslim woman sues over jail church attendance.
A Muslim woman who says she was forced to attend Christian church services during a 60-day jail stint on an assault charge has sued the county.Sakeena Majeed (pictured below), said in a federal lawsuit filed Thursday that a correction officer...
It would have been hard to prove that "rape". She kept going back for more!! She was an adult of consenting age - above 18; if anything, SHE might have had to answer a charge of prostitution, HERSELF!
Hi Guyz!!
Hoja motomoto zarushwa huku na kule. Naomba tu muwe na utulivu katika kupeana hizi hoja. Niliposoma post nika-google swali la anima sacrifice by Freemasons. Mojawapo ya majibu ni hii debate hapa kwenye hii link:
Do Freemasons preform Ritual Sacrafice ? | Masonic Forum of Light...
Ndugu zangu mnaoshabikia hii concept ya IQ, naomba kutoa hoja yangu. Hii subject ni controversial kwa kiasi kikubwa sana. Kwa kiasi kkubwa pia haina relevance yeyote. Mfano:
Mchukue kijana wa ki-Bushman wa huko Botswana/RSA/Namibia, ukamweke katikati ya jangwa la Mgadigadi la huko Botswana...
Sikatai na sikubali pia; nataka kuchukua position ya katikati ya ukuta!! Watu wote - si vijana peke yao - hujituma sana, ni kweli; lakini shughuli nyinghi ni za ki-DALALI TU, si uzalishaji halisi. Mfano, bei ya nyama ya ng'ombe hapo A-Town ni juu zaidi ya ile ya Dar, na quality yake ni ya chini...
Let me say at the outset. The concept of the East African Community/Union appeals to me enormouly. But the way that we are plunging headlong into its implementation is alarming. We should go into this slowly ... polepole. Please note the highlighted print in red .. my doing, not Monseur...
Wazazi wa "mashombe" asilimia kubwa wana-kauwezo hivyo na makinda yao yanaenda shule za "uhakika", hence kimombo kinapanda, hence kuchaguliwa kwa urahisi BBA.... henve .... diy.....
What a sad loss to all Humanity! His death was also a big loss to the African quest for its own identity in the modern world. This was a clear-thinking, humane, strong, soulful, human being who saw a horrible wrong being inflicted on his people and decided to make a stand. He knew he would be...
Wazee acheni tu; ni mji msafi sana, mimi ninapita hapo mara mbili-tatu kila mwaka nikiwa safarini kwenda/kurudi kibaruani. Dar haifikii hata 60% ya juhudi wanazofanya hawa jamaa kuweka jiji lao katika hali ya usafi na nidhamu ya usafi na usalama. Ni mwiko kukojoa ovyo, kutupa taka ovyo, na...
Habari Members, mimi nina swali/hoja. Kama kuna mtu anayejua kama hawa jamaa wa MKURABITA wanafanya kazi namna gani, naomba mchango wake.
Najua: lengo la MKURABITA ni kuipa thamani ardhi ambayo haijasajiliwa kwa kuipa hati rasmi itakayomwezesha owner kuombea credit katika financial institution...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.